Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,887
Wakuu kwanini hiki kitu hakipo Tanzania. Ni biashara nzuri sana. Tena Tanzania kuna kazi nyingi sana za maigizo zimeandikwa.
Marekani kuna broadway, mkusanyiko wa theatre nyingi sana. Wanaingiza pesa nyingi sana.
Atokee mtu ajenge ukumbi na kuajiri maproducers, ma-director na waigizaji atapiga pesa sana. Watu na familia zao watakuja wikiendi. Waigizaji wapo wengi kutoka chuo cha bagamoyo na vinginevyo.
Au Bongo haiwezi kulipa?
Marekani kuna broadway, mkusanyiko wa theatre nyingi sana. Wanaingiza pesa nyingi sana.
Atokee mtu ajenge ukumbi na kuajiri maproducers, ma-director na waigizaji atapiga pesa sana. Watu na familia zao watakuja wikiendi. Waigizaji wapo wengi kutoka chuo cha bagamoyo na vinginevyo.
Au Bongo haiwezi kulipa?