Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
- Thread starter
- #21
Hili sio swala rahisi hivo hasa kama watanzania waishio nje wanachukuliwa kwanza kama sio wazalendo! Uzalendo ni kuishi Tanzania na kuitwa mnyonge!!
Pamoja na wazo hilo kuwa na faida kwa nchi, vipi haki za raia hao kupata haki za kiraia kama kupiga kura na kushiriki siasa kutoka nje?? Kama mjawaita mawakala wa mabeberu sijui!!
This is a give and take. Mpaka sasa hujapendekeza nchi itatoa nini kwa raia wake aliye nje!!
Inabidi Watanzania walioko Marekani watumie hoja kama hizi kama shawishi ili wapate mabadiliko wanayoyataka mfano kwenye uraia pacha, upigaji kura.
Kama ulivyosema, majadiliano ni give and take, Watanzania walio nje walikuwa wanaleta nini mezani?
Kauli ya 'no taxation, no representation' imepata maana kubwa zaidi kwa hoja hii.