Ruge Opinion
JF-Expert Member
- Mar 22, 2006
- 1,838
- 701
Hoja yako ni nzito sana Ritz. Ila Korea Kaskazini na Cuba kwa kipimo chochote kile si marafiki wa Marekani. Hata China na Urusi uhusinao wao na Marekani siyo wa kirafiki. Ni uhusiano usioepukika (friendship of convenience/necessity).Utawala alioupindua Gaddaf ulikuwa wa aina gani labda utusaidie kwenye hili, hizi nchi Dubai, China, Qatar, Saudia Arabia, Kuwait, Abu Dhabi, Korea Kaskazini, Urusi, Cuba, ni rafiki wa Marekani sijui wewe unaweza kutuambia lini walifanya uchaguzi wa kidemokrasia? Itabidi tuvunje nazo mahusiano