Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,264
Kila mkoa kuna majanga ya kukatika umeme kila pasipo ratiba maalumu na kusabisha usumbufu hasa kwa wenye salooni na wachomea vyuma na hata shughuli zingene kusimama.
Natoa wito kwa TANESCO kutoa ratiba ya mgao ili sisi wateja wao tuweze kupanga mpangilio kwa kazi.
Natoa wito kwa TANESCO kutoa ratiba ya mgao ili sisi wateja wao tuweze kupanga mpangilio kwa kazi.