alaksh natena
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 423
- 447
Habarini za jioni wakuu.
Naomba kutambua kwanini TAKUKURU na ZAECA zisiunganike na kufanya kazi moja chini ya Sheria moja inayofanana.
Nashangaa hili sababu vyombo vyote vya kiulinzi na usalama ni vya Muungano na vinafanya kazi zao pamoja shida ipo PCCB na ZAECA Kwanini?
Kwanini kisiwe chombo kimoja Cha Muungano? Mama Samia na Dkt. Mwinyi nadhani wakae pamoja na kuliangalia hili otherwise kutakuwa na tatizo sehemu
Nyumba moja itajengwaje na watu wanagombania fito? Nipo tayari kukosolewa wakuu.
Naomba kutambua kwanini TAKUKURU na ZAECA zisiunganike na kufanya kazi moja chini ya Sheria moja inayofanana.
Nashangaa hili sababu vyombo vyote vya kiulinzi na usalama ni vya Muungano na vinafanya kazi zao pamoja shida ipo PCCB na ZAECA Kwanini?
Kwanini kisiwe chombo kimoja Cha Muungano? Mama Samia na Dkt. Mwinyi nadhani wakae pamoja na kuliangalia hili otherwise kutakuwa na tatizo sehemu
Nyumba moja itajengwaje na watu wanagombania fito? Nipo tayari kukosolewa wakuu.