NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,023
Nimekuwa najiuliza siku nyingi sana kwanini taifa hili siku zote linatamkwa kuwa ni taifa kubwa lenye nguvu kiuchumi duniani na hata kijeshi.
Hata ukiangalia ugunduzi wa mambo mengi ya kisayani utasikikia yameanzia Amerika.Limekuwa taifa la kwanza kumtuma binadamu wa kwanza kukanyaga mwezini na alipokuwa kule akampigia raisi wake simu Richard Nixon wakaongea akiwa ofisini kwake oval office.
Super power wa kwanza walikuwa warumi miaka ya YESU wakati wake na kabla yake kuja kibao kimebadilika imekuwa Amerika.
Wingereza naweza kusema ndio taifa la wajanja toka miaka mingi ya nyuma limetawala karibia nusu ya dunia na wamewatawala hata wamarekani wenyewe lakini bado limekuwa nyuma ya USA kwa sasa.
Nchi hii ya Amerika ilikuwa haijulikani kwenye ramani ya dunia kuwa ipo kulikuwa na wahindi wekundu lakini siku zilivozidi kwenda limezidi kung'ara nini hasa sababu kuu za wao kuwa juu kiasi hiki.
Naombeni tupeane elimu katika hili
Hata ukiangalia ugunduzi wa mambo mengi ya kisayani utasikikia yameanzia Amerika.Limekuwa taifa la kwanza kumtuma binadamu wa kwanza kukanyaga mwezini na alipokuwa kule akampigia raisi wake simu Richard Nixon wakaongea akiwa ofisini kwake oval office.
Super power wa kwanza walikuwa warumi miaka ya YESU wakati wake na kabla yake kuja kibao kimebadilika imekuwa Amerika.
Wingereza naweza kusema ndio taifa la wajanja toka miaka mingi ya nyuma limetawala karibia nusu ya dunia na wamewatawala hata wamarekani wenyewe lakini bado limekuwa nyuma ya USA kwa sasa.
Nchi hii ya Amerika ilikuwa haijulikani kwenye ramani ya dunia kuwa ipo kulikuwa na wahindi wekundu lakini siku zilivozidi kwenda limezidi kung'ara nini hasa sababu kuu za wao kuwa juu kiasi hiki.
Naombeni tupeane elimu katika hili