SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 910
- 1,394
Ukiangalia kwa makini kwenye huu ukanda wetu wa Afrika Mashariki na KATI na hata Afrika kwa ujumla wake, soka linaendeshwa sana sana na Taasisi za Serikali, watu binafsi wenye hela na makampuni maana ndo waajiri ambao wana uhakika wa kulipa mishahara na kuhudumia timu kwa uhakika.. ZAMBIA na UGANDA ni mifano ya haraka kuangalia na ndo zimefanuikiwa kisoka kwenye nchi majirani kwetu.
Kwanini hapa kwetu TANZANIA taasisi kama TRA, NSSF, TPA na zingine ambazo kwa kifupi zinaingiza mapato, zisiingilie SOKA la Tanzania ambalo bado linahitaji nguvu ya pesa kwenye kuliendesha na kulifanya liwe shindani zaidi?
Kwanini hapa kwetu TANZANIA taasisi kama TRA, NSSF, TPA na zingine ambazo kwa kifupi zinaingiza mapato, zisiingilie SOKA la Tanzania ambalo bado linahitaji nguvu ya pesa kwenye kuliendesha na kulifanya liwe shindani zaidi?