Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,519
- 2,133
- Thread starter
- #101
πππSana, Mulamula ni jembe sana
πππSana, Mulamula ni jembe sana
Miaka zaidi ya 60 chini ya CCM nchi ni changa au imeshadumazwa?Hata SA wanasaidiwa sembuse sisi?
Bado nchi changa hii inahitaji misaada sana
UKIWA NA SAMIA RAHA SANA
Mabeberu waliwasikiliza sana hawa akina Lissu
Ila kwa jinsi mama anavyowafuata hadi New York kina Lissu kimya kabisa
Niliwaambia Samia atafanya mambo makubwa sana kirahisi kwasababu ya mkono wa Mungu
Mungu ampiganie Rais wetu kipenzi aendelee kutusaidia sisi masikini
Nadhani hujaelewa meaning,Pale mpewa msaada anapokua entitled mpaka anauliza kwanini msaada umetolea leo na sio jana
Yaani hii entitlement ya kuzungusha bakuli ni next to none
Yaani badala ya kusema kwanini wateja hawajanunua korosho mwaka juzi wanataka kununua mwakani baada ya miaka mi3,eti upo hapa unaulizia bakuli lini wataliwekea chochote?
Hizi mentality za kupewa vipi hizi....zimeletwa na CCM..na nailaumu sana yaani
Miaka zaidi ya 60 chini ya CCM nchi ni changa au imeshadumazwa?
i like that
Hata mimi sijawahi chagua ccm miaka yote na Mwendazake ndio alisababisha nikawachukia mazima ila sasa hivi nitachagua Rais Chief Hangaya ila kwingine sitopigia kura yeyote maana wabunge walioko si wapinzani au ccm hamna kitu.
Viwavi jeshi wa lumumba wamekutana
Kwa kawaida kuna utaratibu katika mikataba hiyo kuwa malipo mapya hufuata baada ya taarifa ya matumizi inayorishika, labda pia masharti mengine,
Kama masharti hayakutumizwa, basi hamna pesa tena. Ni jambo la kawaida katika mikataba yote, ya kibinafsi au kiserikali.
Historia hii sikufuatilia . . .
Achape kazi, asirithi maadui, ajenge umoja wa kitaifa, asimamie maagizo yake, ahoji kwa umakini mkubwa ushauri anaopewa na wasaidizi wake, ataushangaza ulimwengu.
ndio mimi nimezaliwa kwa bahati mbaya naishi kwa makusudi , sijipendekezi kwa mtu hadi nijiite eti mtoto wake mimi nabeba boksi huku kwa mabeberu napata unga wa wanangu. Huku na enjoy kwakua wana adabu heshima na wana utu hawauwi watu hovyo kwa kutofautiana mawazo.
Uliza uambie inaonekana hujuiUliwahi kumsikia Magufuli akikataa msaada? Kwani nani hajitegemei? Ukipewa msaada utakataa??
Kakojowe ukalaleππΏππΏππΏ
Miezi sita ya Rais Samia,
Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona
#KAZIIENDELEE
Kakojowe ukalaleππΏππΏππΏ
Miezi sita ya Rais Samia,
Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona
#KAZIIENDELEE
ππΏππΏππΏ
Miezi sita ya Rais Samia,
Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona
#KAZIIENDELEE
ππΏππΏππΏ
Miezi sita ya Rais Samia,
Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona
#KAZIIENDELEE
Umejibu swali au umetoa maelezo?Uliza uambie inaonekana hujui
Chadomo haoUmejibu swali au umetoa maelezo?