Kwanini suala la makinikia linawauma CHADEMA kuliko ACACIA wenyewe?

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Wabongo siyo siri tuna roho mbaya wengi hawakupenda ripoti ya jana walitaka Magufuli ashindwe cha Kuongea, Ndio maana hata jana Mwenyekiti wa Tume Professor Osoro wakati anawasilisha Baadhi ya Vijana wa Chadema walikua wako Busy kukosoa Sauti yake na Wengine Kusingizia kuwa Professor anatatetemeka.

Wakuu nimepitia Comment mbalimbali hasa kwenye topic za Acacia yaani bado waoga sana kile alichotuaminisha Tundu Lissu Bado yapo Kichwani majitu maoga sana

Mi nimeona makaratasi yenye Mihuri humu eti Ushahidi hata Jamii Forums wameweka katika trends kama Ushahidi. Mmeshambiwa BRELA hakuna Acacia bado tunawaamini mabwenyeye wa Kizungu Tubadilike.

Suala lililobaki ni Kuipelekea acacia Invoice ya Sh. 108Trillion kama Kodi yetu.
 
Wakuu nimepitia Comment mbalimbali hasa kwenye topic za Acacia yaani bado waoga sana kile alichotuaminisha Tundu Lissu Bado yapo Kichwani majitu maoga sana

Mi nimeona makaratasi yenye Mihuri humu eti Ushahidi hata Jamii Forums wameweka katika trends kama Ushahidi. Mmeshambiwa BRELA hakuna Acacia bado tunawaamini mabwenyeye wa Kizungu Tubadilike.

Suala lililobaki ni Kuipelekea acacia Invoice ya Sh. 108Trillion kama Kodi yetu.
Unampelekeaje Invoice mtu ambaye hayuko katika biashara kisheria? kama kuna ukweli wa kauli za mzee sii atangaze kutaifisha hiyo migodi yao?
 
Wakuu nimepitia Comment mbalimbali hasa kwenye topic za Acacia yaani bado waoga sana kile alichotuaminisha Tundu Lissu Bado yapo Kichwani majitu maoga sana

Mi nimeona makaratasi yenye Mihuri humu eti Ushahidi hata Jamii Forums wameweka katika trends kama Ushahidi. Mmeshambiwa BRELA hakuna Acacia bado tunawaamini mabwenyeye wa Kizungu Tubadilike.

Suala lililobaki ni Kuipelekea acacia Invoice ya Sh. 108Trillion kama Kodi yetu.
7) Nimemsikia Magufuli akielekeza wahusika wote wa uchafu huu washughulikiwe. Kweli???

(a) Je, Jakaya Kikwete aliyesaini leseni za Bulyanhulu na Nzega mwaka '94 anaponaje???

(b) Je, Ben Mkapa aliyekuwa Rais na Mwenyekiti wa Cabinet wakati haya yanafanyika anaachwaje???

(c) Je, waliokuwa mawaziri na manaibu wao wote wakati haya yanatokea wanasalimikaje???

(d) Je, wale washangiliaji na wapiga meza wa bungeni, ambao waliunga mkono kila walicholetewa bungeni na kukipitisha kilivyo wanakosaje lawama???
 
[HASHTAG]#RipotiYaKwanza[/HASHTAG]

Lissu: Tusihangaike na udongo, tuhangaike na mikataba na sheria mbovu za madini zilizotufikisha hapa. Tuangalie tulipojikwaa, tusiangalie tulipoangukia.

CCM: Lissu analinda wezi. Mikataba na sheria za madini hazina shida. Shida ipo kwenye udongo wenye makinikia. Tumeibiwa sana kwenye udongo. Hatukubali.

[HASHTAG]#RipotiYaPili[/HASHTAG]

JPM: Tumelogwa na nani? Watanzania tumeibiwa sana. Naagiza mikataba yote na sheria zote za madini zipitiwe upya.

CCM: Rais wetu mzalendo. Amefanya kazi kubwa sana. Tumuombee.!!

[HASHTAG]#MyTake[/HASHTAG]:
Lugha ileile aliyoongea Lissu akaambiwa amehongwa, ndiyo aliyoongea JPM leo akaitwa mzalendo. Akili za CCM kama kifurushi cha jaza ujazwe .!
 
Wakuu nimepitia Comment mbalimbali hasa kwenye topic za Acacia yaani bado waoga sana kile alichotuaminisha Tundu Lissu Bado yapo Kichwani majitu maoga sana

Mi nimeona makaratasi yenye Mihuri humu eti Ushahidi hata Jamii Forums wameweka katika trends kama Ushahidi. Mmeshambiwa BRELA hakuna Acacia bado tunawaamini mabwenyeye wa Kizungu Tubadilike.

Suala lililobaki ni Kuipelekea acacia Invoice ya Sh. 108Trillion kama Kodi yetu.
Wewe ulishaenda BRELA kuomba registration za acacia ukazikosa au na wewe ndio wale wale mnaoaminishiwa kuwa mwenyekiti akiongea huwa hakosei...?? Je kampuni ambayo haijasajiliwa huwa inaingia vipi DSE.....

Sio kila saa mnaweka akili kwenye mapango
 
Wakuu nimepitia Comment mbalimbali hasa kwenye topic za Acacia yaani bado waoga sana kile alichotuaminisha Tundu Lissu Bado yapo Kichwani majitu maoga sana

Mi nimeona makaratasi yenye Mihuri humu eti Ushahidi hata Jamii Forums wameweka katika trends kama Ushahidi. Mmeshambiwa BRELA hakuna Acacia bado tunawaamini mabwenyeye wa Kizungu Tubadilike.

Suala lililobaki ni Kuipelekea acacia Invoice ya Sh. 108Trillion kama Kodi yetu.

a75141e3aee0f89d34a3cb070c0b8236.jpg
 
Kwa sababu waliongea sana hii ishu wakipinga mikataba ya siri, na kutaka mikataba itazamwe upya, halafu kwa kelele za wana Lumumba walikataa kule bungeni, so, someshaneni namba wenyewe kwa wenyewe. Jiwe walilolikataa waashi, leo limekuwa jiwe kuu la pembeni.
 
Wakuu nimepitia Comment mbalimbali hasa kwenye topic za Acacia yaani bado waoga sana kile alichotuaminisha Tundu Lissu Bado yapo Kichwani majitu maoga sana

Mi nimeona makaratasi yenye Mihuri humu eti Ushahidi hata Jamii Forums wameweka katika trends kama Ushahidi. Mmeshambiwa BRELA hakuna Acacia bado tunawaamini mabwenyeye wa Kizungu Tubadilike.

Suala lililobaki ni Kuipelekea acacia Invoice ya Sh. 108Trillion kama Kodi yetu.
Acacia haipo kwa msajili wa makampuni.Its unknown entity!
Sio kwamba alituaminisha kama hatutafikia muafaka mzuri kwenye meza ya majafiliano kama Rais alivyoifungua hiyo milango ya majadiliano suala hilo laweza kuwepo.
Sheria ya madini(mining act 2010) ina mapungufu juu ya mineral right(mining licence),pamoja na wasimamizi tuliowapa madaraka(Waziri wa Nishati na Madini,Kamishina wa madini pia na Afisa mkaguzi wa migodi)
 
Back
Top Bottom