vvm
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 6,303
- 10,336
Mimi nimfuatiliji mzuri wa stand up comedian wa hapa Tanzania ambapo kwasasa naona Dar na Arusha zinafanya vizuri (hongera) ila cha kushangaza ni kuwa asilimia kubwa ya standup comedian wa Dar wanapenda kuigiza mambo ya kike, yaani ongea ya kike, mapozi ya kike na wakati mwingine mavazi ya kike, je inamaana mambo yakike ndio yanachekesha sana huko Bongo Dar es Salaam au ndio Kale katabia pendwa ka kina wanaume wa Dar es Salaam ?
Nawasilisha
.
Nawasilisha
.