msambazya forbas
Member
- Jun 1, 2015
- 8
- 0
Nataka kujua hiki chuo kila mwaka wanafunzi hasa wa education hucheleweshewa hela yao na wanapogoma wanafukuzwa na serikali haisemi kitu.
Je, ni kweli kwamba kuna wakubwa wanahisa zao kwenye chuo hicho?
Ni wiki mbili sasa tangu waziri wa elimu afike pale chuoni lakini wanafunzi hawajarudisha kuna nini?
Je, ni kweli kwamba kuna wakubwa wanahisa zao kwenye chuo hicho?
Ni wiki mbili sasa tangu waziri wa elimu afike pale chuoni lakini wanafunzi hawajarudisha kuna nini?