Mimi nina wasiwasi wa huyu Spika wetu na China. China wamekuwa wakinunua viongozi wa Africa kwa manufaa yao.
Leo hii baada ya Rais Magufuli kufariki huyu spika sasa anataka kumburuza Rais Mama Samia kwenye mtataba wa kuuza bandari ya Bagamoyo kwa China.
Lengo la China liko wazi na walishasema wanahitaji sehemu kama walivyofanya kwenye nchi nyingine kuwa na biashara na base ya kijeshi. Hii ndiyo sababu wanataka kupewa kwa miaka 99.
Sehemu iwe kama balozi eti huwezi kuingia na wanaweza kufanya lolote.
Sasa wamemweka spika mfukoni na watampa kila kitu ili Bunge limweke mama sehemu mbaya.
Tanzania bado tunatafuta pesa ya kujenga reli, kununua mabehewa, kujenga barabara, ni kwanini tuongie mzigo wa kuuza nchi hivi tena bure.
Mimi nina wahakikishia Spika tayari atakuwa na bank account nchi za nje kama sio yeye ni mke wake au watoto na kama hana aseme wazi na kama anayo yeye au ndugu aseme ina kiasi gani.
Watanzania tuwe makini na tuhakikishe Mama Samia hakubali hizi mbinu mbaya za Spika na wabunge wa Bagamoyo.
Leo hii baada ya Rais Magufuli kufariki huyu spika sasa anataka kumburuza Rais Mama Samia kwenye mtataba wa kuuza bandari ya Bagamoyo kwa China.
Lengo la China liko wazi na walishasema wanahitaji sehemu kama walivyofanya kwenye nchi nyingine kuwa na biashara na base ya kijeshi. Hii ndiyo sababu wanataka kupewa kwa miaka 99.
Sehemu iwe kama balozi eti huwezi kuingia na wanaweza kufanya lolote.
Sasa wamemweka spika mfukoni na watampa kila kitu ili Bunge limweke mama sehemu mbaya.
Tanzania bado tunatafuta pesa ya kujenga reli, kununua mabehewa, kujenga barabara, ni kwanini tuongie mzigo wa kuuza nchi hivi tena bure.
Mimi nina wahakikishia Spika tayari atakuwa na bank account nchi za nje kama sio yeye ni mke wake au watoto na kama hana aseme wazi na kama anayo yeye au ndugu aseme ina kiasi gani.
Watanzania tuwe makini na tuhakikishe Mama Samia hakubali hizi mbinu mbaya za Spika na wabunge wa Bagamoyo.