Kwanini Spika hakumtetea Ester Matiko kuwa alimtuma Burundi

What a shame!Halafu huyo Mashauri ndio kala shavu baada ya kuwasweka rumande kwa miezi 3 na ushee!
Awamu hii ukitaka kupata mafanikio kwa haraka basi wewe wafanyie ubaya wapinzani,hapo utamgusa JIWE na atakuona mtendaji imara na zawadi ya cheo juu!
Anatoka chattle. Na mdogo wake alipangwa kuchukua nafasi ya asad ila haikutekelezwa kwa sababu asad alitenda tofauti na walivyopanga.
 
Hayo unayoeleza unafikiri Jaji hayajui,

Tabia za serikali kucheza na dhamana ilianza toka kwa Lema Arusha, nakumbuka baada ya kukatwa kwa rufaa, Jaji kwenye hukumu yake pia alilaumu mahakama kutotenda haki na kumisha haki ya dhamana, na kwa Mbowe hili limejirudia tena, je hakuna utaratibu wa ndani wa kimahakama wa mahakama ya rufaa kutoa maagizo ya aina ya kesi kama hizo zisiweze kuchezewa au mahakama ya rufani au mahakama kuu kuingilia kati pindi ukandamizaji kama huu unapotokea....
 
What a shame!Halafu huyo Mashauri ndio kala shavu baada ya kuwasweka rumande kwa miezi 3 na ushee!
Awamu hii ukitaka kupata mafanikio kwa haraka basi wewe wafanyie ubaya wapinzani,hapo utamgusa JIWE na atakuona mtendaji imara na zawadi ya cheo juu!
Kwa maana hiyo kitu ambacho hakifai kabisa katika jamii hii ya Watanzania waliostarabika na wenye utu ni JIWE. Kwa nini tunaendelea kulikalia wakati ukweli ni kuwa JIWE limetukalia sisi?
Nashauri 2020 tulitupilie mbali maana vinginevyo kuendelea kuwa nalo litatuzoesha kukosa ustaarabu na kufikia 2025 twaweza kuwa moja ya mataifa yasiyo na ustaarabu na ya kishenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akisoma uamuzi huo, Jaji Sam Rumanyika amesema ushahidi uliowasilishwa mahakamani unaonesha Mbowe na Matiko hawakuruka masharti ya dhamana kama ilivyoelezwa na upande wa Jamhuri.

Mahakama kuu imejiridhisha kwa nyaraka kuwa Mbowe alikwenda Afrika kusini kwa matibabu na akatumia kipindi chake cha mapumziko ya matibabu kwenda Ubelgiji jambo ambalo si kosa kisheria.

Pia Ester Matiko hakufika mahakamani siku ya kesi yake kwa sababu alitumwa na Spika kwenda Burundi kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya mabunge ya Afrika mashariki. Ester aliwasilisha mahakamani barua ya Spika lakini ilikataliwa na kufutiwa dhamana.

Kama huyo Spika ' remote ' yake iko Magogoni ulikuwa unategemea nini labda? Jamani ' sometimes ' muwe mnajiongeza basi.
 
Tabia za serikali kucheza na dhamana ilianza toka kwa Lema Arusha, nakumbuka baada ya kukatwa kwa rufaa, Jaji kwenye hukumu yake pia alilaumu mahakama kutotenda haki na kumisha haki ya dhamana, na kwa Mbowe hili limejirudia tena, je hakuna utaratibu wa ndani wa kimahakama wa mahakama ya rufaa kutoa maagizo ya aina ya kesi kama hizo zisiweze kuchezewa au mahakama ya rufani au mahakama kuu kuingilia kati pindi ukandamizaji kama huu unapotokea....
TRIPLE standard!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akisoma uamuzi huo, Jaji Sam Rumanyika amesema ushahidi uliowasilishwa mahakamani unaonesha Mbowe na Matiko hawakuruka masharti ya dhamana kama ilivyoelezwa na upande wa Jamhuri.

Mahakama kuu imejiridhisha kwa nyaraka kuwa Mbowe alikwenda Afrika kusini kwa matibabu na akatumia kipindi chake cha mapumziko ya matibabu kwenda Ubelgiji jambo ambalo si kosa kisheria.

Pia Ester Matiko hakufika mahakamani siku ya kesi yake kwa sababu alitumwa na Spika kwenda Burundi kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya mabunge ya Afrika mashariki. Ester aliwasilisha mahakamani barua ya Spika lakini ilikataliwa na kufutiwa dhamana.
Spika kila siku yupo Ikulu.. huyu ni kama anaishi pale.. juzi alikuwepo.. leo yupo..
 
Bunge na mahakama wapi na wapi.Kwani bunge ndio lililompa dhamana na masharti yake?
Nadhani hauko vizuri upstairs. Huwezi ukatulia ukaziona hoja za msingi kutoka kwenye maamuzi ya Jaji Rumanyika!!!??? Hata wenzako nadhani wanakucheka. Sometimes you better listen yourself before you speak out. Umezidi mkuu......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akisoma uamuzi huo, Jaji Sam Rumanyika amesema ushahidi uliowasilishwa mahakamani unaonesha Mbowe na Matiko hawakuruka masharti ya dhamana kama ilivyoelezwa na upande wa Jamhuri.

Mahakama kuu imejiridhisha kwa nyaraka kuwa Mbowe alikwenda Afrika kusini kwa matibabu na akatumia kipindi chake cha mapumziko ya matibabu kwenda Ubelgiji jambo ambalo si kosa kisheria.

Pia Ester Matiko hakufika mahakamani siku ya kesi yake kwa sababu alitumwa na Spika kwenda Burundi kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya mabunge ya Afrika mashariki. Ester aliwasilisha mahakamani barua ya Spika lakini ilikataliwa na kufutiwa dhamana.
Jamani. Ccm kuweni na aibu basi kha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tabia za serikali kucheza na dhamana ilianza toka kwa Lema Arusha, nakumbuka baada ya kukatwa kwa rufaa, Jaji kwenye hukumu yake pia alilaumu mahakama kutotenda haki na kumisha haki ya dhamana, na kwa Mbowe hili limejirudia tena, je hakuna utaratibu wa ndani wa kimahakama wa mahakama ya rufaa kutoa maagizo ya aina ya kesi kama hizo zisiweze kuchezewa au mahakama ya rufani au mahakama kuu kuingilia kati pindi ukandamizaji kama huu unapotokea....
Jaji mkuu nadhani kuna jambo anatakiwa kufanya kwenye muhimili wake. Yeye ndiye mkuu wa muhimili huu, hawezi kuacha haya mambo yakawa yanakwenda hovyo namna hii tena kwa kuhusishwa na siasa. Labda ndo ile "Anayemlipa mpiga zumari ndiye anayechagua wimbo autakao"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akisoma uamuzi huo, Jaji Sam Rumanyika amesema ushahidi uliowasilishwa mahakamani unaonesha Mbowe na Matiko hawakuruka masharti ya dhamana kama ilivyoelezwa na upande wa Jamhuri.

Mahakama kuu imejiridhisha kwa nyaraka kuwa Mbowe alikwenda Afrika kusini kwa matibabu na akatumia kipindi chake cha mapumziko ya matibabu kwenda Ubelgiji jambo ambalo si kosa kisheria.

Pia Ester Matiko hakufika mahakamani siku ya kesi yake kwa sababu alitumwa na Spika kwenda Burundi kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya mabunge ya Afrika mashariki. Ester aliwasilisha mahakamani barua ya Spika lakini ilikataliwa na kufutiwa dhamana.
Barua ya Spika iliyowasilishwa mahakamani na Esther Matiko ndiyo ilikuwa utetezi sahihi kutoka kwa Spika, zidi ya hapo Spika angefanya nini?
 
Barua ya Spika iliyowasilishwa mahakamani na Esther Matiko ndiyo ilikuwa utetezi sahihi kutoka kwa Spika, zidi ya hapo Spika angefanya nini?
Wewe kwa akili yako baada ya barua iliyoandikwa na spika kutopokelewa na Hakimu Mashauri, uamuzi wa spika ulikua ni kukaa kimya kwa muda wote huo mtu wake akiwa anahenya rumande!!!??? Mara ngapi Matiko amefikishwa mahakamani na kurejeshwa tena rumande, hivi mtu ambaye ulimtuma tena kwa maandishi, huna jambo la kufanya kuweza kumnusuri na adhabu hiyo ya kuwekwa rumande kwa kosa la kuruka dhamana au kuidharau mahakama!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vitu hutokea kwa sababu flani,hili nalo lilitokea ili tuwajue wanyanyasi na vibaraka wa chama, Wapinzani Africa huchukuliwa kama si watu wanaostahili kuishi bali kuuliwa na kuteswa, Huyo Mashauli kuna siku yatamkuta ya Mramba labda atangulie mapema
 
Back
Top Bottom