Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,594
- 2,717
Hapa sio suala la kuingilia mhimili mwingine bali inashuhudia jinsi tulikaliwa na viongozi mazwazwa, wewe spika anajua kwamba alimtuma Esther Matiko kwenda burundi kwa shughuli za kibunge halafu anashindwa kusema hayo mbele ya hakimu ?, tunahitaji kudai ukombozi wa nchi hii ili watu wote wawe na haki sawa mbele ya sheriaMtakuja kuniambia utetezi wake.. Kuwa hakutaka kuingilia muhimili mwingine wa serikali.