Haaa mkuu nililikuwa silijui hili aisee kumbe philipino ni kawaida kabisa ndo mana Tamthilia zao lazima liwepo limoja au ma2 dah kweli dunia tambala mbovu
Yaani baba anitoe marindaKwasababu USHOGA ni moja katika jamii ya taifa leo..
Ufilipino kama hamna shoga katika familia basi inaisabika familia haijatimia..
Wamama wa filipino huwa wanafanya kila njia ili mtoto wa kiume wamgeuze msenge..
Kule Papua New Guinea kabla hujaowa,ukienda kuchumbia mkwe lazima akupige nao,ndio akupe mwanawe..
Dunia ya utandawazi aka Globalisation..
Welcome to the real World my friend..
Kwako wewe ni mazingaombwe katika mila za Watu wa Papua new Guinea ni kitu cha kawaida.."Kule Papua New Guinea kabla hujaowa,ukienda kuchumbia mkwe lazima akupige nao,ndio akupe mwanawe"
Yana ukweli haya? Unawezaje kuishi na mke anayejua kuwa mumewe unaliwa na babaye?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Inasemekana mwanamme akipigwa nao lazima kitu kisimame,ili baba mkwe ahakikishe kama mkwe wake yuko sawa,lazima amfanyie test,hiyo ndio test nyenyewe..😂Yaani baba anitoe marinda
Ya kweli haya?Kwasababu USHOGA ni moja katika jamii ya taifa leo..
Ufilipino kama hamna shoga katika familia basi inaisabika familia haijatimia..
Wamama wa filipino huwa wanafanya kila njia ili mtoto wa kiume wamgeuze msenge..
Kule Papua New Guinea kabla hujaowa,ukienda kuchumbia mkwe lazima akupige nao,ndio akupe mwanawe..
Dunia ya utandawazi aka Globalisation..
Welcome to the real World my friend..
Hawa watu wapo na wataendelea kuwapo,..
Mwandiko wako tu unaonyesha kuwa mule muleWakuu
Hivi ndio wamecopy kwa wazungu ama wingi wa makaburu umechangi? Yaani kila tamthilia ya kisauzi utakayoingalia lazima wachomekee au kuweka character ya shoga mmoja
Mbona kama wanahamasisha mambo hayo kwa jamii yao? Chanzo ni nini hasa? Ukianzia kwa isidingo ilikuwa hivo, Uzalo na yenyewe ilikuwa hivyo, Isibaya, scandal, rythim City, zote lazima waweke hivi imeshindikana kutoweka content za hao wajalaana wa kwa mpalange?
Nawasilisha
Upunga uko kila sehem. Ni nguvu kutoka kuzimu na ndio maana wanaupromote kwa nguvu zotewanachofanya ni kupromot ushoga ili kionekane kitu cha kawaida ndio maana nimeachana na matamthiliya yao