Kwanini somo la Civics ndilo pekee ambalo haliundiwi combination "A" level katika masomo saba ya msingi Kidato cha Nne?

Published on 24 Jun 2013

Jean-Yves Ollivier: Mandela's liberation (CNN)


A report from CNN about the new documentary Plot for Peace and the secret contribution of French businessman Jean-Yves Ollivier in Nelson Mandela's liberation.
Source : WorldNews333

Sawa, asante boss
 

Jean Yves Ollivier Discusses Diplomacy of Influence | Part 1 of 3


Jean Yves Ollivier talks being self taught and passion for settling conflicts and bringing about peace.

Jean Yves Ollivier, Secretary General of The Brazzaville Foundation for Peace and Conservation sat down with AFKInsider to discuss business and politics.
Source: AFKInsider

I will watch this later boss
 
Shule ya msingi - Uraia
O level - Civics
A level - General studies
University - Development studies.


Huoni ni somo lililopendelewa kwa kuwa compulsory kuanzia msingi mpaka chuo?
Na ukifeli somo hilo unaharibu ufaulu wa masomo mengine. Yani unaweza kuwa na three point three. A 3 za olevel na F ya GS we ni failure.
Mbona somo la computer linasomwa na wanafunzi wote huko vyuoni lakini wale wa ICT na Computer Science wanalisoma kwa undani zaidi? Kwanini Civics lisisomwe na wanafunzi wote lakini kuwe na combination ya wabobezi watakaolisoma kwa undani zaidi?
 
Mbona somo la computer linasomwa na wanafunzi wote huko vyuoni lakini wale wa ICT na Computer Science wanalisoma kwa undani zaidi? Kwanini Civics lisisomwe na wanafunzi wote lakini kuwe na combination ya wabobezi watakaolisoma kwa undani zaidi?
Computer inasomwa mwaka mmoja tu kama ilivyo DS, na miaka sawa kama zilivyo GS na Civics.... Sina shaka level ya chuo kuna wabobezi wa uraia na sheria nyinginezo...
 
Yap, Civics imeachiwa hizo concepts za juu juu tu pamoja na current issues. Huo umuhimu wake umebebwa na masomo mengine
Hapana mkuu, bado ninapingana na wewe katika hili. Kuna uwezekano mwalimu wako alikuwa anafundisha shallow sana tofauti na inavyohitajika katika mtaala...
 
Tafuta koz za diplomasia kisha uone civics inayosomwa sekondari ina percent ngapi
Sio tu civics na masomo ya diplomasia mkuu, bali hata biology ya secondary na ile wanayosoma madakrati watarajiwa kule vyuoni kama vile Muhimbili hazifanani kwa maana ni levels mbili tofauti za elimu.

Kumbuka nyumba imara hutegemea zaidi msingi bora.
 
Back
Top Bottom