Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #121
Inawezekana wewe ndiye Dr. Ndalichako mwenyewe. Who knows...Hata ndalichako amekusikia
Inawezekana wewe ndiye Dr. Ndalichako mwenyewe. Who knows...Hata ndalichako amekusikia
Mbona somo la computer linasomwa na wanafunzi wote wa chuoni lakini wale wa ICT wanalisoma kwa undani zaidi?Hata ndalichako amekusikia
NI wazo zuri lakini taaluma zote wanahitaji kufahamu Hilo somo kwa sababu tunafamya kazi zetu chini ya Sheria za nchi
Unawwza kuw mtanzania ukaenda Kenya kufanya kazi
Sounds funny?Kabisa
Hahahaa
Pia kuna wengi wanalifeli. Inaonekana wewe ulipaswa kuwa wanasiasa au wanadiplomasiaNdio somo ambalo nilikuwa nalionea balaa
Mwalimu aliyekuwa anafundisha hilo somo alikuwa akianza kusimulia hutasahau,na mimi navyopenda mistori sasa,akiuliza maswali kwenye mitihani yake nashusha kama nilivyomnukuu,hadi necta nayo nashukuru ni moja ya masomo lililonipa grade nzuriPia kuna wengi wanalifeli. Inaonekana wewe ulipaswa kuwa wanasiasa au wanadiplomasia
You must be a geniusSomo nilikuwa sisomi but nilijipatia B yangu safi.
Huyu ni mwalimu aliyekuwa anaipenda kazi yake kwa dhati...Mwalimu aliyekuwa anafundisha hilo somo alikuwa akianza kusimulia hutasahau
Sure,RIP to her(Mama Hamisi)Huyu ni mwalimu aliyekuwa anaipenda kazi yake kwa dhati...
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'unSure,RIP to her(Mama Hamisi)
AminInna lillahi wa inna ilayhi raji'un
AbsolutelyGeneral study...
Ninakumbuka vema tu mkuu...Shule ya msingi - Uraia
O level - Civics
A level - General studies
University - Development studies.