Kwanini SMZ hawamu cherish Hayati Karume kama Wenzao wa Bara wanavyofanya kwa Hayati Nyerere?

BEHOLD

JF-Expert Member
Nov 17, 2013
5,057
10,715
Kule Bara sio tu kuna hotuba lukuki na vipindi vya redio na runinga vinavyoenzi kumbukumbu ya Mwalim Nyerere, bali pia kuna majengo na miundo mbinu kibao inayopewa Jina lake (Nyerere).

Vipi kwa Zanzibar hali hiyo haipo. Maana huko habari za kumuenzi Muasisi wa Taifa hilo Hayati Karume utazikia tu mwanzoni mwa januari ya kila mwaka kuelelea siku ya Mapinduzi tarehe 12 Januari na kidogo pia siku ya Muungano tarehe 26 April.

Zanzibar mnakwama wapi? Hamjifunzi kwa wenzenu wa bara au hata kuwaonea gere?
 
Kule Bara sio tu kuna hotuba lukuki na vipindi vya redio na runinga vinavyoenzi kumbukumbu ya Mwalim Nyerere, bali pia kuna majengo na miundo mbinu kibao inayopewa Jina lake (Nyerere).

Vipi kwa Zanzibar hali hiyo haipo. Maana huko habari za kumuenzi Muasisi wa Taifa hilo Hayati Karume utazikia tu mwanzoni mwa januari ya kila mwaka kuelelea siku ya Mapinduzi tarehe 12 Januari na kidogo pia siku ya Muungano tarehe 26 April.

Zanzibar mnakwama wapi? Hamjifunzi kwa wenzenu wa bara au hata kuwaonea gere?
Hivi ka Zanzibar kalivyo kadogo hivyo unataka kila mtaa uitwe karume si katajaa fasta tu, huku bara ni eneo kubwa, wapewe na watu wengine ili usawa upatikane, kwani ni yeye pekee ndio hayati? Si kuna wengine!?
 
Kule Bara sio tu kuna hotuba lukuki na vipindi vya redio na runinga vinavyoenzi kumbukumbu ya Mwalim Nyerere, bali pia kuna majengo na miundo mbinu kibao inayopewa Jina lake (Nyerere).

Vipi kwa Zanzibar hali hiyo haipo. Maana huko habari za kumuenzi Muasisi wa Taifa hilo Hayati Karume utazikia tu mwanzoni mwa januari ya kila mwaka kuelelea siku ya Mapinduzi tarehe 12 Januari na kidogo pia siku ya Muungano tarehe 26 April.

Zanzibar mnakwama wapi? Hamjifunzi kwa wenzenu wa bara au hata kuwaonea gere?
Unashangaa Zanzibar mbona hushangai mataifa mengine kama Kenya, Ghana, Nigeria, Marekani au Ujerumani?
 
Uwanja wa ndege wa kimataifa Zanzibar unaitwa Abeid Aman Karume Int. Airport. Lakini historia pia itamhukumu kwa baadhi ya matendo yake alivyokuwa anayafanya ambayo kimtazamo hayakupendeza, mkuu kule hawana kawaida ya ku praise kitu sana hata kama ulifanya nini. Nakumbuka siku moja tupo kule tulipishana na Thiery Henry forodhani garden na hakuna hata mtu mmoja aliemfata walau kuomba saini yake ama selfie. Ndivyo walivyo kule.
 
Zanzibar 98 percent ni waislam...sio sehemu ya utamaduni kuwakuza sana marehem...
sio Zanzibar tu nchi zenye waislam wengi viongozi wakishakufa hakuna sana 'kuwasujudia'
 
Zanzibar 98 percent ni waislam...sio sehemu ya utamaduni kuwakuza sana marehem...
sio Zanzibar tu nchi zenye waislam wengi viongozi wakishakufa hakuna sana 'kuwasujudia'
Kwani muhamad si alisha kufa mbona wanamtukuza??
 
..kwasababu ktk utawala wake kuna waZnz waliuawa na mmoja wapo ni Kassim Hanga.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom