Kwanini siwapendi?

Tina

JF-Expert Member
Jul 9, 2007
572
579
  • Wananipenda wakati nikiwa mzima nikiugua kidogo huanza kutoweka.
  • Wananipendea uzuri wa sura na sauti yangu hawajui naweza kupata ajali nikapoteza reception hiyo na sauti ikawa ya kukoroma.
  • Wanaangalia bambataa langu hawajui mwenyewe naona kero kwa kugeukiwa kila mara (wataweza kuvumilia nikitembea nao barabarani nikiangaliwa na wenzao?)
  • Wanapenda waonje bila harusi, hawajui kuwa sina muda mchafu huo tena.
  • Wanakuja kwa gia ya kudai bila mimi maisha hayaendi japo nimekutana nao wakiwa wanaishi vema tu.
  • Wanadai mi mpole na mkarimu nafaa kuwa mke lakini wanasahau kuwa hivyo si vigezo vya mke bora.
  • Wanadai niko mchangamfu na mwenye kuwa na haiba bila kujiuliza kama nikiwa nao watakubali kusikia wenzao wakinisifia hivi.
  • Hawako wakweli, hata kama waliwahi kutembea na 'wenzangu' zaidi ya 20 wataniambia mimi ndiye wa tatu hiviiii
  • Wanadai mimi ni msomi na naenda na wakati wakati si kipimo cha mapenzi katika ndoa.
  • Wananipa ahadi kibao hata zisizoweza kutimilika kwa akili ya kibinadamu ili mradi niwaone bab kubwa.
  • Wanadai wananipenda sana na nikiwambia nimeathirika wengi husahau hata kuniuliza nini kimeniathiri.
  • Wengi wa habari, kila nikiwa nao naona wanageuka pindi 'wenzangu' wanapopishana nasi.

Sijui kina nani hawa? Wewe mmojawapo? Basi hunifai pia
 
  • Wananipenda wakati nikiwa mzima nikiugua kidogo huanza kutoweka.
  • Wananipendea uzuri wa sura na sauti yangu hawajui naweza kupata ajali nikapoteza reception hiyo na sauti ikawa ya kukoroma.
  • Wanaangalia bambataa langu hawajui mwenyewe naona kero kwa kugeukiwa kila mara (wataweza kuvumilia nikitembea nao barabarani nikiangaliwa na wenzao?)
  • Wanapenda waonje bila harusi, hawajui kuwa sina muda mchafu huo tena.
  • Wanakuja kwa gia ya kudai bila mimi maisha hayaendi japo nimekutana nao wakiwa wanaishi vema tu.
  • Wanadai mi mpole na mkarimu nafaa kuwa mke lakini wanasahau kuwa hivyo si vigezo vya mke bora.
  • Wanadai niko mchangamfu na mwenye kuwa na haiba bila kujiuliza kama nikiwa nao watakubali kusikia wenzao wakinisifia hivi.
  • Hawako wakweli, hata kama waliwahi kutembea na 'wenzangu' zaidi ya 20 wataniambia mimi ndiye wa tatu hiviiii
  • Wanadai mimi ni msomi na naenda na wakati wakati si kipimo cha mapenzi katika ndoa.
  • Wananipa ahadi kibao hata zisizoweza kutimilika kwa akili ya kibinadamu ili mradi niwaone bab kubwa.
  • Wanadai wananipenda sana na nikiwambia nimeathirika wengi husahau hata kuniuliza nini kimeniathiri.
  • Wengi wa habari, kila nikiwa nao naona wanageuka pindi 'wenzangu' wanapopishana nasi.

Sijui kina nani hawa? Wewe mmojawapo? Basi hunifai pia

.......mmmmmh, mambo ya kawaida hayo lakini dada langu!! its dog eat dog, big, bad world out there!!
Binafsi siwezi kujipendelea, lakini I guarantee you,rafiki Nyani Ngabu hayupo hivyo kama hao uliowaongelea. LOL.
 
Tina,unajua unapocema huwapendi ndo unawapa muda wa kutafuta gia gani ambayo utaingilika,simba mwenyewe na ukali wake na bado anazaa be care full.
 
.......mmmmmh, mambo ya kawaida hayo lakini dada langu!! its dog eat dog, big, bad world out there!!
Binafsi siwezi kujipendelea, lakini I guarantee you,rafiki Nyani Ngabu hayupo hivyo kama hao uliowaongelea. LOL.

U already know patna...The goon of all goons Nyani Ngabu is doin' it...he's got the swagger going on....he's just swaggerific and they can't resist!!!
 
Tina,unajua unapocema huwapendi ndo unawapa muda wa kutafuta gia gani ambayo utaingilika,simba mwenyewe na ukali wake na bado anazaa be care full.

Yeah True!

Tina
Binadamu hashindwi kitu... hayo uliyoyasema yanaweza kutumika kukupata kilaini kabisa! Just watch out!
 
Tina , wewe unajihisi vipi.Mzuri , wa kuvutia , mpole, mnyenyekevu, haiba safi etc? How do yo rank yourself. Accept +ves because if they say you are ugly , unapealing , unsexy , rude , shapeless etc I am sure you will hate them more. Watch out?//
 
Tina,unajua unapocema huwapendi ndo unawapa muda wa kutafuta gia gani ambayo utaingilika,simba mwenyewe na ukali wake na bado anazaa be care full.
chapaa, wanatafuta lakini nazijua na wengi wetu tunazijua. Hawa2wezi kwa gia hizo, ukiona tumekubali ni kuwa tumeamua wenyewe tu
Yeah True!

Tina
Binadamu hashindwi kitu... hayo uliyoyasema yanaweza kutumika kukupata kilaini kabisa! Just watch out!
dmussa, niko macho sana, asante kwa kunikumbusha
Mimi si mmoja wao, wewe unasemaje?
ngonalugali, utakuwa mmoja wao, prove me wrong pal.

Tina , wewe unajihisi vipi.Mzuri , wa kuvutia , mpole, mnyenyekevu, haiba safi etc? How do yo rank yourself. Accept +ves because if they say you are ugly , unapealing , unsexy , rude , shapeless etc I am sure you will hate them more. Watch out?//
Mfamaji, hakuna asiyependa kusemwa vyema ila siwapendi wale wanaonisema vyema wakiwa na lengo la kuniingiza kwenye mtego wao. Nikiwakubalia basi nawahadaa kwani nazielewa laghai zao. Nawezekana kuwa na sifa hizo lakini iwe sababu ya wao kuja na kupata watakacho na kuniacha? Let's be frank, kwanini wanafanya hivi? What if it could be you?

Tina
 
  • Wananipenda wakati nikiwa mzima nikiugua kidogo huanza kutoweka.
  • Wananipendea uzuri wa sura na sauti yangu hawajui naweza kupata ajali nikapoteza reception hiyo na sauti ikawa ya kukoroma.
  • Wanaangalia bambataa langu hawajui mwenyewe naona kero kwa kugeukiwa kila mara (wataweza kuvumilia nikitembea nao barabarani nikiangaliwa na wenzao?)
  • Wanapenda waonje bila harusi, hawajui kuwa sina muda mchafu huo tena.
  • Wanakuja kwa gia ya kudai bila mimi maisha hayaendi japo nimekutana nao wakiwa wanaishi vema tu.
  • Wanadai mi mpole na mkarimu nafaa kuwa mke lakini wanasahau kuwa hivyo si vigezo vya mke bora.
  • Wanadai niko mchangamfu na mwenye kuwa na haiba bila kujiuliza kama nikiwa nao watakubali kusikia wenzao wakinisifia hivi.
  • Hawako wakweli, hata kama waliwahi kutembea na 'wenzangu' zaidi ya 20 wataniambia mimi ndiye wa tatu hiviiii
  • Wanadai mimi ni msomi na naenda na wakati wakati si kipimo cha mapenzi katika ndoa.
  • Wananipa ahadi kibao hata zisizoweza kutimilika kwa akili ya kibinadamu ili mradi niwaone bab kubwa.
  • Wanadai wananipenda sana na nikiwambia nimeathirika wengi husahau hata kuniuliza nini kimeniathiri.
  • Wengi wa habari, kila nikiwa nao naona wanageuka pindi 'wenzangu' wanapopishana nasi.

Sijui kina nani hawa? Wewe mmojawapo? Basi hunifai pia

mh!mbona unaonekana mkal kias hicho tina?mm najui nyuki mkal ndo mwenye asal tamu naamin huo ni ukal lakin una kikomo chake
 
ngonalugali, utakuwa mmoja wao, prove me wrong pal.
i don't have much to say buddy. You believe in ur words i believe in my character.
 
Oh, dear sis, try to be careful not to give a kick to that who shouldn't be given one; it has all to do with your perceptions.

BTW, huwapendi au huzipendi tabia zao?
 
...naam, there is a thin line between Lust and Love! Kama nguo dukani, unaitamani kwanza kisha unaipenda baadae, mambo ya macho hayo kukosa pazia!.
 
Wewe mmojawapo? Basi hunifai pia

Mimi si mmojawapo bibie..tena ntakufaa sana..Ni hivi:

1. Sisi watu wa Pwani huku visiwani twajua kutunza wanawake..hata sokoni twaenda twakuletea vyoote vya kukaangiza ..mahanjumati etc

2. Sisi watu wa pwani hatujui kupiga wake..mila zetu zasema ukitaka mpiga mke mpige na upande wa kanga..

3. Mimi ni manas'ara tena ..zinaa na uzinzi kwangu haram..tena naruhusiwa oa mke mmoja tu, ambaye utakuwa wewe tu..

How does that sound..?
 
Kisaikolojia tina unamatatizo sio bure,ni kwa jinsi gani wewe ujitambue kwamba una mvuto kwa watu wengi,eti kila ukipita unatazamwa.Hebu tuambie hao wanaokunanihiii wanasifa gani kama sio wabwia unga tu.What is so special you have different to other women,hii mada ungeipeleka theutam na sio hapa JF.Jamani wenzenu tunamachungu na nchi hii ambayo tusipokua serious vizazi vijavyo vitatulilia.

We have a lot of things to discuss and then you bring hopeless discussion,Tina be serious to our future generation.Tuna ufisadi wa Lowasa,migodini,bandarini,TRL,ATCL,kandarasi za barabara n.k leo eti unatazamwa na wanaue unachanganyikiwa,ningekua na uwezo ningekunyofoa hako kadude,yaaaaaani tina
 
Kisaikolojia tina unamatatizo sio bure,ni kwa jinsi gani wewe ujitambue kwamba una mvuto kwa watu wengi,eti kila ukipita unatazamwa.

Nadhani aliyoyatoa sister Tina yanawawakilisha watu wengi tofauti tofauti. Labda ni utenzi fulani hivi.:)

hii mada ungeipeleka theutam na sio hapa JF.Jamani wenzenu tunamachungu na nchi hii ambayo tusipokua serious vizazi vijavyo vitatulilia.

KILA KITU KINA MAHALI PAKE NDUGU...

We have a lot of things to discuss and then you bring hopeless discussion,Tina be serious to our future generation.Tuna ufisadi wa Lowasa,migodini,bandarini,TRL,ATCL,kandarasi za barabara n.k leo eti unatazamwa na wanaue unachanganyikiwa,ningekua na uwezo ningekunyofoa hako kadude,yaaaaaani tina

UFISADI NA FORUM YA MAHUSIANO, MAPENZI, URAFIKI NI WAPI KWA WAPI! UMEKOSEA NJIA, NDUGU!
 
Tina mi Iam your perfect choice...yaani usiogope jina la kisukuma..raha tutapeana ya kutosha..Lol!
 
Mimi si mmojawapo bibie..tena ntakufaa sana..Ni hivi:

2. Sisi watu wa pwani hatujui kupiga wake..mila zetu zasema ukitaka mpiga mke mpige na upande wa kanga..

How does that sound..?

Hahaa! That sounds like you gonna spank the stars out of her!! Hampigi kumbe mnapiga!
 
Dada yangu we hakuna binadamu ambaye yuko perfect hapa duniani. Wengine kweli wanataka tendo la ndoa tu na uboyfroend na ugirlfriend hakuna cha zaidi, na wengine wanaweza kuwa na nia nzuri kabisa ya kukuchukua jumla jumla, lakini katika dunia ya leo kumpata mtu atakakuchukua jumla jumla bila tendo la ndoa ni nadra sana labda 1 katika milioni! Sasa hebu fikiria adha ya kutafita mtu mmoja katika kundi la watu milioni!

Ingekuwa mwaka 47 ningekwambia subiri utapata tu maana katika kila watu 10 mmoja alikuwa tayari kuchukua jumla jumla bila tendo la ndoa lakini tabia za watu zimebadilika sana mwaka 2008 ukilinganisha na mwaka 47.

Kama kweli una nia ya kuolewa basi inabidi uchague katika hao wanaojipitishapitisha baada ya kuona ana sifa nyingi unazozitaka ukilinganisha na wengine, vinginevyo unaweza kujikuta pekee yako maana miaka haikungoji ukija kushtuka hata wale wanaojipitishapitisha sasa hivi watakuwa wamekata kiguu na njia...:) Kila la heri
 
hajafakwa tu huyo, akifikwa wala hatosema hawapendi wala nn.

maneno ya mtu asie onja pepo ukionja hutaki kutoka tena
 
Back
Top Bottom