inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,944
- 18,210
Kabla ya utumwa na ukoloni tulikuwaje?...mtu mweusi katawala sana misri,nchi iliyokua imeendelea na kustaaribika kuliko yoyote kipindi chakeHakuna eneo ambalo mtu mweusi anafanya vizuri, iwe siasa, uchumi, imani/dini, utamaduni, mahusiano, kusimamia mali asili, mtindo ya maisha,lugha, mpaka majina yetu ni ya kutoka huko huko.
Inasemekana wakati a uumbaji, mungu alisahau kuweka ubongo kwa mtu mweusi.