Kwanini sisi Wanaume ni waongo?

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
Najua nitapingwa ila kuna ukweli wapwaaz!

Mara nyingi mazungumzo ya wanaume ni kujisifu kwa Ngono na Ulevi. Unaweza kaa kijiweni na washikaji utasikia oooh mimi nimelala karibu na wanawake wote wa ofisini kwetu na hata mtaani nimechapa sana (anasema haya huku akijua ni uwongo kabisa). Ama mwingine atadakia nimelala jana tu na Khadija na sasa nina miadi na Roselyn (ukifatilia ni uwongo). Hili ni kundi la watu wenye kipato kidogo yaaani wa uswazi.

Ukienda kwa wale wasomi nao ni hivyo nilienda seminar na Ms Rebecca Kule Johannesburg, kwa kweli tulikuwa chumba kimoja ili kusave ila tumerudi hapa bongo tunakaushiana. Mwingine naye atakupa issue Mke wa Fidel ni mtamu sana lile ta.ko acha tu nilikuwa naye Ngurdoto kwenye seminar elekezi si pole pole huu ni uwongo pia. Msomi Mwingine utasikia nina Mademu wawili nimewapata JF week end hii nauwa mmojawapo lol

Pombe

Wengine utasikia mimi kwa pombe ni balaa jana nimekunywa crate la konyagi na konyagi za kopo. Mwingine atachangia acha hizo mimi jana nimepata za kutosha hadi nikafunga bar. Huyu hawa jamaa ukienda nao bar ya ukweli ni beer mbili anaangusha gari ukimuuliza utasikia oooh jana niliwaka sana

Hivi wazee uanaume ni lazima Ngono na Ulevi

Mch wenu Masa
 
Mimi sijawahi kusema uongo hata kidogo, japo nimewasikia wengi wakisema ninayoyajua ni uongo mtupu....! Hivyo, sio wanume wote ni waongo, maana mimi ni mkweli kabisa....!
 
Mimi sijawahi kusema uongo hata kidogo, japo nimewasikia wengi wakisema ninayoyajua ni uongo mtupu....! Hivyo, sio wanume wote ni waongo, maana mimi ni mkweli kabisa....!

Inawezeka wewe ni ongo la kutupwa! kuna mdada huniambia its a men thing.....
 
Inawezeka wewe ni ongo la kutupwa! kuna mdada huniambia its a men thing.....
Mtume mwanamke yeyote umwaminiaye aje kwangu kama nitamdanganya....! Japo, kuna uwezekano mkubwa sana nikampata kama nimekuwa interested....!
 
Mtume mwanamke yeyote umwaminiaye aje kwangu kama nitamdanganya....! Japo, kuna uwezekano mkubwa sana nikampata kama nimekuwa interested....!

Ngoja nimtume Mama Mchungaji na Mdogo wake, naogopa asijepeke yake maana anaweza pigwa uwongo wa kufa mtu
 
Kuna wengine ukikaa nao wanapenda pia kujifagilia,sasa unajisifia mbele ya mwanaume mwenzio unataka akufanyie nini.....mimi nina mshkaji wangu mmoja yaani nikikaa nae ni kujisifia tu,tatizo lake ni moja akikueleza kitu leo siku nyinigine anakueleza vingine kitu kilekile story mbili tofauti...ananiboaga..
 
Kuna wengine ukikaa nao wanapenda pia kujifagilia,sasa unajisifia mbele ya mwanaume mwenzio unataka akufanyie nini.....mimi nina mshkaji wangu mmoja yaani nikikaa nae ni kujisifia tu,tatizo lake ni moja akikueleza kitu leo siku nyinigine anakueleza vingine kitu kilekile story mbili tofauti...ananiboaga..

Hata JF wapo hapa
 
Hii tabia kwa kweli ipo sana tu..............lakini sijajua ni kwa nini!!!
 
Hii maneno ni kweli kabisa nimewahi kukutana na watu ambao kujisifu ni sehemu ya maisha yao ilihali hawana uwezo wa mlo kamili kwa siku moja tu.Utashangaa unakutana na mtu anajisifu jinsi alivyotumia fedha nyingi na kimwana xyz mwisho wa story yake anaomba 5,000/= ?.
 
Hii maneno ni kweli kabisa nimewahi kukutana na watu ambao kujisifu ni sehemu ya maisha yao ilihali hawana uwezo wa mlo kamili kwa siku moja tu.Utashangaa unakutana na mtu anajisifu jinsi alivyotumia fedha nyingi na kimwana xyz mwisho wa story yake anaomba 5,000/= ?.

Nimecheka sana mkuu! Ni kweli kabisa tena ukimpa 10.000 akatafute chenji anakuomba niachie hata hii hii ndugu yangu nimeuwawa sana
 
Ngoja nimtume Mama Mchungaji na Mdogo wake, naogopa asijepeke yake maana anaweza pigwa uwongo wa kufa mtu
I warmly welcome all of them, and I am very sure that by being open and faith, I will win the most beautiful among them....! Si kazi rahisi kujijengea tabia ya ukweli, lakini ukishaweza na ukaonja matunda yake ni basi tuuuu, wala asikuambie mtu....! Suppose unakutana na mwanamke huku ukiwa baba watoto, halafu ungependa kumtumia bila kumfanya akuwekee mategemeo ya mbali, then akakubali, hiyo raha ukiwa naye huwezi kupima....! Hivyo, waje kabisa tena bila kuchelewa....!
 
Najua nitapingwa ila kuna ukweli wapwaaz!

Mara nyingi mazungumzo ya wanaume ni kujisifu kwa Ngono na Ulevi. Unaweza kaa kijiweni na washikaji utasikia oooh mimi nimelala karibu na wanawake wote wa ofisini kwetu na hata mtaani nimechapa sana (anasema haya huku akijua ni uwongo kabisa). Ama mwingine atadakia nimelala jana tu na Khadija na sasa nina miadi na Roselyn (ukifatilia ni uwongo). Hili ni kundi la watu wenye kipato kidogo yaaani wa uswazi.

Ukienda kwa wale wasomi nao ni hivyo nilienda seminar na Ms Rebecca Kule Johannesburg, kwa kweli tulikuwa chumba kimoja ili kusave ila tumerudi hapa bongo tunakaushiana. Mwingine naye atakupa issue Mke wa Fidel ni mtamu sana lile ta.ko acha tu nilikuwa naye Ngurdoto kwenye seminar elekezi si pole pole huu ni uwongo pia. Msomi Mwingine utasikia nina Mademu wawili nimewapata JF week end hii nauwa mmojawapo lol

Pombe

Wengine utasikia mimi kwa pombe ni balaa jana nimekunywa crate la konyagi na konyagi za kopo. Mwingine atachangia acha hizo mimi jana nimepata za kutosha hadi nikafunga bar. Huyu hawa jamaa ukienda nao bar ya ukweli ni beer mbili anaangusha gari ukimuuliza utasikia oooh jana niliwaka sana

Hivi wazee uanaume ni lazima Ngono na Ulevi

Mch wenu Masa

Si vidume wote.... kwanza nikishakula tunda.... nijisifu ili iweje...?
kama nikiulizwana masela mwingine anaetangaza nia kwa kidosho amabae 'tutachachuana'... sirembi... ntampa ukweli wa mambo... maamuzi yake atajua mwenywe mbelekwambele!!
 
Najua nitapingwa ila kuna ukweli wapwaaz!

Mara nyingi mazungumzo ya wanaume ni kujisifu kwa Ngono na Ulevi. Unaweza kaa kijiweni na washikaji utasikia oooh mimi nimelala karibu na wanawake wote wa ofisini kwetu na hata mtaani nimechapa sana (anasema haya huku akijua ni uwongo kabisa). Ama mwingine atadakia nimelala jana tu na Khadija na sasa nina miadi na Roselyn (ukifatilia ni uwongo). Hili ni kundi la watu wenye kipato kidogo yaaani wa uswazi.

Ukienda kwa wale wasomi nao ni hivyo nilienda seminar na Ms Rebecca Kule Johannesburg, kwa kweli tulikuwa chumba kimoja ili kusave ila tumerudi hapa bongo tunakaushiana. Mwingine naye atakupa issue Mke wa Fidel ni mtamu sana lile ta.ko acha tu nilikuwa naye Ngurdoto kwenye seminar elekezi si pole pole huu ni uwongo pia. Msomi Mwingine utasikia nina Mademu wawili nimewapata JF week end hii nauwa mmojawapo lol

Pombe

Wengine utasikia mimi kwa pombe ni balaa jana nimekunywa crate la konyagi na konyagi za kopo. Mwingine atachangia acha hizo mimi jana nimepata za kutosha hadi nikafunga bar. Huyu hawa jamaa ukienda nao bar ya ukweli ni beer mbili anaangusha gari ukimuuliza utasikia oooh jana niliwaka sana

Hivi wazee uanaume ni lazima Ngono na Ulevi

Mch wenu Masa

Mchungaji huo ni ukweli kabisa. kwa lugha fupi inaitwa "Kutom..a midomo" (samahani kwa atakaekwazika ila hamna jinsi)

Binti unaweza kumzoea mwanaume, hakawii kuwaambia washikaji zake kuwa amekulamba.
 
Najua nitapingwa ila kuna ukweli wapwaaz!

Mara nyingi mazungumzo ya wanaume ni kujisifu kwa Ngono na Ulevi. Unaweza kaa kijiweni na washikaji utasikia oooh mimi nimelala karibu na wanawake wote wa ofisini kwetu na hata mtaani nimechapa sana (anasema haya huku akijua ni uwongo kabisa). Ama mwingine atadakia nimelala jana tu na Khadija na sasa nina miadi na Roselyn (ukifatilia ni uwongo). Hili ni kundi la watu wenye kipato kidogo yaaani wa uswazi.

Ukienda kwa wale wasomi nao ni hivyo nilienda seminar na Ms Rebecca Kule Johannesburg, kwa kweli tulikuwa chumba kimoja ili kusave ila tumerudi hapa bongo tunakaushiana. Mwingine naye atakupa issue Mke wa Fidel ni mtamu sana lile ta.ko acha tu nilikuwa naye Ngurdoto kwenye seminar elekezi si pole pole huu ni uwongo pia. Msomi Mwingine utasikia nina Mademu wawili nimewapata JF week end hii nauwa mmojawapo lol

Pombe

Wengine utasikia mimi kwa pombe ni balaa jana nimekunywa crate la konyagi na konyagi za kopo. Mwingine atachangia acha hizo mimi jana nimepata za kutosha hadi nikafunga bar. Huyu hawa jamaa ukienda nao bar ya ukweli ni beer mbili anaangusha gari ukimuuliza utasikia oooh jana niliwaka sana

Hivi wazee uanaume ni lazima Ngono na Ulevi

Mch wenu Masa
si kweli kabisa rev. sijui ww huwa unakaa na nani hao?
 
Inawezeka wewe ni ongo la kutupwa! kuna mdada huniambia its a men thing.....

Uongo hauna mwenyewe, kuna wanaume waongo kama kulivyo na waongo wa kike.

Kwa nini watu (hasa wanaume) wakisutwa humabiwa "muongo/mmbeya kama mwanamke"?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom