chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Mimi mwananchi wa kawaida kabisa ninayeishi kijijini
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear
Lakini ki ukweli tunataka kuacha kulima kwa sababu tumedharauliwa na kusahauliwa kabisa
Tumeshindwa kuacha kulima kwa sababu hatuna mbadala .
Mbole (simenti, bati, mafuta ya taa, powertilar) ni bei juu sana kuna issue ya vocha za mbolea (ruzuku ya serikali)
Mkulima masikini anapaswa kuwa na almost shs laki moja na ushee ili
Uweze kutumia package ya mbolea ya ruzuku kupandia, kukuzia na mbegu nk..Hivi bibi, babu na mjombako kule Kijijini anapata wapi hizo fedha?
Haya tunapovuna mazao yetu tunapangiwa bei (pamba, kahawa) na pa kuuzia .. kuuza nje marufuku .
Hivi mnataka tufanyeje? Tumlilie nani?
Kwanini wakulima tunateseka hivi ..hizo mnazoziita Sera, itikadi na .wala hazitusaidii zipo ktk makaratasi yenu tuu.
TUMECHOKAAAAA!!!!!!!!!!!!!
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear
Lakini ki ukweli tunataka kuacha kulima kwa sababu tumedharauliwa na kusahauliwa kabisa
Tumeshindwa kuacha kulima kwa sababu hatuna mbadala .
Mbole (simenti, bati, mafuta ya taa, powertilar) ni bei juu sana kuna issue ya vocha za mbolea (ruzuku ya serikali)
Mkulima masikini anapaswa kuwa na almost shs laki moja na ushee ili
Uweze kutumia package ya mbolea ya ruzuku kupandia, kukuzia na mbegu nk..Hivi bibi, babu na mjombako kule Kijijini anapata wapi hizo fedha?
Haya tunapovuna mazao yetu tunapangiwa bei (pamba, kahawa) na pa kuuzia .. kuuza nje marufuku .
Hivi mnataka tufanyeje? Tumlilie nani?
Kwanini wakulima tunateseka hivi ..hizo mnazoziita Sera, itikadi na .wala hazitusaidii zipo ktk makaratasi yenu tuu.
TUMECHOKAAAAA!!!!!!!!!!!!!