Kwanini sisi wakulima tunateseka ivi?

chokambayaa

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
543
69
Mimi mwananchi wa kawaida kabisa ninayeishi kijijini
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear…
Lakini ki ukweli tunataka kuacha kulima kwa sababu tumedharauliwa na kusahauliwa kabisa
Tumeshindwa kuacha kulima kwa sababu hatuna mbadala….
Mbole (simenti, bati, mafuta ya taa, powertilar) ni bei juu sana kuna issue ya vocha za mbolea (ruzuku ya serikali)
Mkulima masikini anapaswa kuwa na almost shs laki moja na ushee ili
Uweze kutumia package ya mbolea ya ruzuku kupandia, kukuzia na mbegu nk..Hivi bibi, babu na mjombako kule Kijijini anapata wapi hizo fedha?


Haya tunapovuna mazao yetu tunapangiwa bei (pamba, kahawa) na pa kuuzia ….. kuuza nje marufuku….
Hivi mnataka tufanyeje? Tumlilie nani?
Kwanini wakulima tunateseka hivi…..hizo mnazoziita Sera, itikadi na ….wala hazitusaidii zipo ktk makaratasi yenu tuu.
TUMECHOKAAAAA!!!!!!!!!!!!!
 
Mimi mwananchi wa kawaida kabisa ninayeishi kijijini
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear…
Lakini ki ukweli tunataka kuacha kulima kwa sababu tumedharauliwa na kusahauliwa kabisa
Tumeshindwa kuacha kulima kwa sababu hatuna mbadala….
Mbole (simenti, bati, mafuta ya taa, powertilar) ni bei juu sana kuna issue ya vocha za mbolea (ruzuku ya serikali)
Mkulima masikini anapaswa kuwa na almost shs laki moja na ushee ili
Uweze kutumia package ya mbolea ya ruzuku kupandia, kukuzia na mbegu nk..Hivi bibi, babu na mjombako kule Kijijini anapata wapi hizo fedha?


Haya tunapovuna mazao yetu tunapangiwa bei (pamba, kahawa) na pa kuuzia ….. kuuza nje marufuku….
Hivi mnataka tufanyeje? Tumlilie nani?
Kwanini wakulima tunateseka hivi…..hizo mnazoziita Sera, itikadi na ….wala hazitusaidii zipo ktk makaratasi yenu tuu.
TUMECHOKAAAAA!!!!!!!!!!!!!

Uchaguzi ujao pigia kura chama sahihi na kilicho na sera madhubuti.....
 
Wakulima - kwa bahati mbaya sana - hawana mtetezi! Serikali haina habari nao kwani kila siku ni kuwadanganya-danganya tu. Siku wakipata watetezi wa kweli serikalini ndiyo tutajionea mabadiliko ya kweli katika jamii yetu kwa sababu wengi wa wananchi wetu ni wakulima.
 
Mimi mwananchi wa kawaida kabisa ninayeishi kijijini
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear…
Lakini ki ukweli tunataka kuacha kulima kwa sababu tumedharauliwa na kusahauliwa kabisa
Tumeshindwa kuacha kulima kwa sababu hatuna mbadala….
Mbole (simenti, bati, mafuta ya taa, powertilar) ni bei juu sana kuna issue ya vocha za mbolea (ruzuku ya serikali)
Mkulima masikini anapaswa kuwa na almost shs laki moja na ushee ili
Uweze kutumia package ya mbolea ya ruzuku kupandia, kukuzia na mbegu nk..Hivi bibi, babu na mjombako kule Kijijini anapata wapi hizo fedha?


Haya tunapovuna mazao yetu tunapangiwa bei (pamba, kahawa) na pa kuuzia ….. kuuza nje marufuku….
Hivi mnataka tufanyeje? Tumlilie nani?
Kwanini wakulima tunateseka hivi…..hizo mnazoziita Sera, itikadi na ….wala hazitusaidii zipo ktk makaratasi yenu tuu.
TUMECHOKAAAAA!!!!!!!!!!!!!

Kwa bahati mbaya sana, wakulima na wamachinga ndiyo wanaoongoza kwa kulialia maisha magumu, na haohao ndiyo siku zote wanaoongoza kwa kuipigia kura CCM. Sasa sisi tuwasaidieje? Nendeni mkamuulize mliyempa kura zenu. Kwani si mlimpa kura ili awasaidie? Na mtateseka sana tu, hadi hapo mtakapojifunza kuchagua chama makini.
 
Wakulima - kwa bahati mbaya sana - hawana mtetezi! Serikali haina habari nao kwani kila siku ni kuwadanganya-danganya tu. Siku wakipata watetezi wa kweli serikalini ndiyo tutajionea mabadiliko ya kweli katika jamii yetu kwa sababu wengi wa wananchi wetu ni wakulima.
Mtetezi wa wakulima atakuwa nani ilihali waliopo kwenye system hawajui hata jembe linashikwaje? Fanya analysis ya wabunge wote, halafu useme kama kuna mmojawapo ambaye kilimo ndiyo hasa chanzo chake cha mapato. Kwa kiasi kikubwa utakuta wengi wanalima kama sehemu ya burudani. Wana mashamba ambayo ni mahali kwa kupumzika siku za weekend. Sasa wabunge kama hao ambao ni wafanyabiashara wakubwa na mafisadi watajua lini kama kilimo kinahitaji utetezi? Huwezi hata siku moja kutegemea mtetezi wa wakulima kutoka katikati ya wafanyabiashara wakubwa na mafisadi ambao hawakuwahi kulima. Hicho ni kilio tu kwa wakulima. Wanalo hilo!!!!
 
Wabunge karibu wote wa nchi nzima wanaishi kinondoni matatizo ya wakulima watajua wapi?
 
Mimi mwananchi wa kawaida kabisa ninayeishi kijijini
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear…
Lakini ki ukweli tunataka kuacha kulima kwa sababu tumedharauliwa na kusahauliwa kabisa
Tumeshindwa kuacha kulima kwa sababu hatuna mbadala….
Mbole (simenti, bati, mafuta ya taa, powertilar) ni bei juu sana kuna issue ya vocha za mbolea (ruzuku ya serikali)
Mkulima masikini anapaswa kuwa na almost shs laki moja na ushee ili
Uweze kutumia package ya mbolea ya ruzuku kupandia, kukuzia na mbegu nk..Hivi bibi, babu na mjombako kule Kijijini anapata wapi hizo fedha?


Haya tunapovuna mazao yetu tunapangiwa bei (pamba, kahawa) na pa kuuzia ….. kuuza nje marufuku….
Hivi mnataka tufanyeje? Tumlilie nani?
Kwanini wakulima tunateseka hivi…..hizo mnazoziita Sera, itikadi na ….wala hazitusaidii zipo ktk makaratasi yenu tuu.
TUMECHOKAAAAA!!!!!!!!!!!!!

vipi?

ulipata mgao wako wa fulana ya kijani na kofia ya njano?
 
Hakika naadhani wana JF hamjabahatika kwenda remote areahivi karibuni

Yaani hakika mbolea ndio issue yaani akitokea mtu mfano CDM, CUF, NCCR
akaweza kutoa ufumbuzi wa bei ya mbolea na upatikanaje wake huku Kijijini
kura zote za 2015 za wakulima anakula...

Hali ni mbaya sana ni ugomvi kila siku na viongozi wao (maafisa kilimo)
Kura walipigia upinzani (wengi wao) ila zilichakachuliwa sasa wamlilie nani
 
Hakika naadhani wana JF hamjabahatika kwenda remote areahivi karibuni

Yaani hakika mbolea ndio issue yaani akitokea mtu mfano CDM, CUF, NCCR
akaweza kutoa ufumbuzi wa bei ya mbolea na upatikanaje wake huku Kijijini
kura zote za 2015 za wakulima anakula...

Hali ni mbaya sana ni ugomvi kila siku na viongozi wao (maafisa kilimo)
Kura walipigia upinzani (wengi wao) ila zilichakachuliwa sasa wamlilie nani
Hakuna cha kuchakachua wala nini! Kwa nini hazikuchakachuliwa Arusha mjini, Iringa mjini, Mbeya mjini, Msoma mjini, Nyamagana etc? Nyie mliuza kura zenu kwa tshirt na kofia bwana!!! Hakuna haja ya kulalamika wakati mnaenjoy tshirt na kofia za bure.
 
Wabunge karibu wote wa nchi nzima wanaishi kinondoni matatizo ya wakulima watajua wapi?

Hapo kweli mkuu lakini mbona wengi wao ni watoto wa wakulima
wameishi vijijini na wamesomea huko
au ndo mwenye njaa.......
 
Inasikkitisha ukulima wengi bongo wanakuwa hawawezi kuishi vizuri, nchi zilizoendelea zingine wakulima wanapesa sana na wengi wanakuwa matajiri
 
Hakuna cha kuchakachua wala nini! Kwa nini hazikuchakachuliwa Arusha mjini, Iringa mjini, Mbeya mjini, Msoma mjini, Nyamagana etc? Nyie mliuza kura zenu kwa tshirt na kofia bwana!!! Hakuna haja ya kulalamika wakati mnaenjoy tshirt na kofia za bure.

Mijini wanaufahamu wa maisha kulikoni huku tulipo
Kuishi mjini tuu tayari ni form four

Huku mmetuacha wenyewe hakuna wa kututetea hata kampeni zenu nyingi
mlifanyia mijini huku hata matawi hamjafungua mnategemea nini
 
Tatizo hapa liko obvious that our leaders/administrators are men,actually men, who didn't grow up in their local equivalent of Ifakara or Njombe. If they had, one suspects their view of the government of the day would be somewhat more jaundiced and confrontational! As you may know that our colonial masters dubbed today as donors used to set prices for our dear fathers/ peasants, and today they regard our leaders (mawaziri and presidents) when they meet in wooden panelled offices to discuss the fate of wakulima wa tanzania na africa kwa ujumla as their social equals! kwa hili wakulima wataendelea kuwa maskini! :A S-alert1:
 
Mtu wa kwanza kumbadilisha ni wewe mwenyewe, achana na kufanya kazi kivyako vyako ungana na wenzio kuunda kikundi ambacho mtatumia kama chombo cha kusemea na kutafuta masoko na kutafuta taarifa.

Kama umekuwa ukifanya hivyo muda wote na hubadiliki, you must change sasa mchakato wa maendeleo hauna short cut ni kama kifo lazima u-experience. Achana na siasa na kutafuta mchawi songambele wengine watakufuata ukianza safari.

Avatar yako imenikumbusha marehemu Musiba (RIP) na kitabu chake cha usiku wa balaa enzi hizo.
 
Mtu wa kwanza kumbadilisha ni wewe mwenyewe, achana na kufanya kazi kivyako vyako ungana na wenzio kuunda kikundi ambacho mtatumia kama chombo cha kusemea na kutafuta masoko na kutafuta taarifa.

Kama umekuwa ukifanya hivyo muda wote na hubadiliki, you must change sasa mchakato wa maendeleo hauna short cut ni kama kifo lazima u-experience. Achana na siasa na kutafuta mchawi songambele wengine watakufuata ukianza safari.

Avatar yako imenikumbusha marehemu Musiba (RIP) na kitabu chake cha usiku wa balaa enzi hizo.


Yah nimesoma sana vitabu vyake MUNGU amrehemu

Ndugu yangu songambele vikundi tumeunda sana, vyama vya kuweka na kukopa tumeanzisha sana
lakini hakuna jipya mabilioni ya kikwete yanaishia mijini sisi hatupati fursa eti
tutashindwa kurejesha...

Huku michango ya serikali kila kukicha
Kuchangia ujenzi wa sekondari, zahanati, ujenzi wa mfereji wa umwagiliaji, shule ya msingi, bweni...akhaaa
na usipochangia utakiona cha mtema kuni Mtendaji anawewe.....

Tumlilie nani....
 
tatizo niserikali yetu kukubali sisi kuwa chanzo cha utajiri wa nchi za magharibi na makampuni makubwa kama nestle, starbuck nk kwa vimsaaada kidogo tunaopata na nafasi wanazo pata hao vioongozi wetu.
 
Wakulima - kwa bahati mbaya sana - hawana mtetezi! Serikali haina habari nao kwani kila siku ni kuwadanganya-danganya tu. Siku wakipata watetezi wa kweli serikalini ndiyo tutajionea mabadiliko ya kweli katika jamii yetu kwa sababu wengi wa wananchi wetu ni wakulima.

si nasikia kuna mh anaitwa mtoto wa mkulima? Ila mtoto wao karithi kilimo cha siasa. Sio hicho chenu cha pamba na mahindi. Nawe ndugu nakushauri uanze kulima siasa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom