Kwanini sisi wakulima tunateseka ivi?

si nasikia kuna mh anaitwa mtoto wa mkulima? Ila mtoto wao karithi kilimo cha siasa. Sio hicho chenu cha pamba na mahindi. Nawe ndugu nakushauri uanze kulima siasa

Ni kweli mkuu kilimo cha siasa kinalipa sana
hata wasomi sikuhizi ni siasa
Hawataki tena kuwa wataalamu wameamua kuwa wanasiasa
Tusipoangalia bongo wote tutakuwa wanasiasa....
 
Mtakoma!!! Na Wizara yenu ndo kapewa huyo mchafuzi MAGHEMBE!!! Kashaharibu Elimu sasa amekabidhiwa kilimo akishughulikie!!! The leaders of this nation have never been serious!!!
 
Sasa kwanini wapinzani wasi-buy hii deal ya mbolea?
Mtoto wa mkulima katuacha....
 
Mimi mwananchi wa kawaida kabisa ninayeishi kijijini
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear…
Lakini ki ukweli tunataka kuacha kulima kwa sababu tumedharauliwa na kusahauliwa kabisa
Tumeshindwa kuacha kulima kwa sababu hatuna mbadala….
Mbole (simenti, bati, mafuta ya taa, powertilar) ni bei juu sana kuna issue ya vocha za mbolea (ruzuku ya serikali)
Mkulima masikini anapaswa kuwa na almost shs laki moja na ushee ili
Uweze kutumia package ya mbolea ya ruzuku kupandia, kukuzia na mbegu nk..Hivi bibi, babu na mjombako kule Kijijini anapata wapi hizo fedha?


Haya tunapovuna mazao yetu tunapangiwa bei (pamba, kahawa) na pa kuuzia ….. kuuza nje marufuku….
Hivi mnataka tufanyeje? Tumlilie nani?
Kwanini wakulima tunateseka hivi…..hizo mnazoziita Sera, itikadi na ….wala hazitusaidii zipo ktk makaratasi yenu tuu.
TUMECHOKAAAAA!!!!!!!!!!!!!

Kataa kupewa 5,000/, kofia, kanga, tisheti na vilemba wakati wa kampeni. Au vichukue lakini kura yako peleka kwa mtu mwenye sera nzuri asiyehonga wapiga kura.
 
Mimi mwananchi wa kawaida kabisa ninayeishi kijijini
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear…
Lakini ki ukweli tunataka kuacha kulima kwa sababu tumedharauliwa na kusahauliwa kabisa
Tumeshindwa kuacha kulima kwa sababu hatuna mbadala….
Mbole (simenti, bati, mafuta ya taa, powertilar) ni bei juu sana kuna issue ya vocha za mbolea (ruzuku ya serikali)
Mkulima masikini anapaswa kuwa na almost shs laki moja na ushee ili
Uweze kutumia package ya mbolea ya ruzuku kupandia, kukuzia na mbegu nk..Hivi bibi, babu na mjombako kule Kijijini anapata wapi hizo fedha?


Haya tunapovuna mazao yetu tunapangiwa bei (pamba, kahawa) na pa kuuzia ….. kuuza nje marufuku….
Hivi mnataka tufanyeje? Tumlilie nani?
Kwanini wakulima tunateseka hivi…..hizo mnazoziita Sera, itikadi na ….wala hazitusaidii zipo ktk makaratasi yenu tuu.
TUMECHOKAAAAA!!!!!!!!!!!!!

Actors lie to tell the truth, but politicians lie to cover the truth
 
Mimi mwananchi wa kawaida kabisa ninayeishi kijijini
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear…
Lakini ki ukweli tunataka kuacha kulima kwa sababu tumedharauliwa na kusahauliwa kabisa
Tumeshindwa kuacha kulima kwa sababu hatuna mbadala….
Mbole (simenti, bati, mafuta ya taa, powertilar) ni bei juu sana kuna issue ya vocha za mbolea (ruzuku ya serikali)
Mkulima masikini anapaswa kuwa na almost shs laki moja na ushee ili
Uweze kutumia package ya mbolea ya ruzuku kupandia, kukuzia na mbegu nk..Hivi bibi, babu na mjombako kule Kijijini anapata wapi hizo fedha?


Haya tunapovuna mazao yetu tunapangiwa bei (pamba, kahawa) na pa kuuzia ….. kuuza nje marufuku….
Hivi mnataka tufanyeje? Tumlilie nani?
Kwanini wakulima tunateseka hivi…..hizo mnazoziita Sera, itikadi na ….wala hazitusaidii zipo ktk makaratasi yenu tuu.
TUMECHOKAAAAA!!!!!!!!!!!!!

Kuchagua kwako CCM au kutokupiga kwako kura hapo Oct. 2010 ndio matokeo yake hayo. Naomba ukae kimya kabisa na kuugulia maumivu mpaka hapo 2015
 
Kuchagua kwako CCM au kutokupiga kwako kura hapo Oct. 2010 ndio matokeo yake hayo. Naomba ukae kimya kabisa na kuugulia maumivu mpaka hapo 2015

Mpaka dakika hii huku Iringa/Njombe/Mby hakuna mvua,kikawaida huwa tunapanda mahindi november 15 ya kila mwaka, mpaka desemba hii hakuna hata tone, kwenye mabonde hawa jamaa wametukatalia kulima eti tunapunguza maji ya umeme huko mjini kwenu.

Niliwahi kusikia eti kuna mvua za kutengeneza toka nchi ya mbali, vp mbona msituletee hizo mvua jamani?

Na mimi nimeamua kuja mjini ili wote tubanane huko huko, kama msaada wa chakula nitausubiria huko huko mjini nikiwa ktk hema lenu.
 
Wizara hii ilipaswa ipewe mtu ambaye anamunkali wa Kilimo na anajua ni jinsi gani mkulima anaweza kukwamliwa!
Ivi ni prof gani hapa tanzania alibuni kitu na kikawa feasible. Wasomi wetu woote hawana uwezo huo wakibuni mladi sanasana wananunua madaladala na ufugaji wa kuku!
Tusitegemee mabadiliko ktk sekta ya kilimo.
 
Mpaka dakika hii huku Iringa/Njombe/Mby hakuna mvua,kikawaida huwa tunapanda mahindi november 15 ya kila mwaka, mpaka desemba hii hakuna hata tone, kwenye mabonde hawa jamaa wametukatalia kulima eti tunapunguza maji ya umeme huko mjini kwenu.

Niliwahi kusikia eti kuna mvua za kutengeneza toka nchi ya mbali, vp mbona msituletee hizo mvua jamani?

Na mimi nimeamua kuja mjini ili wote tubanane huko huko, kama msaada wa chakula nitausubiria huko huko mjini nikiwa ktk hema lenu.

Mkuu namimi nimeamua kuja mjini
Lakini hawakina mama zetu, wajomba, shangazi tunaowaacha huku bushi
si ndo tunawaua kabisa.......
 
Mimi mwananchi wa kawaida kabisa ninayeishi kijijini
Tatizo kubwa tulionalo ni umasikini tunaoishi nao
Tunategemea kilimo sana (kilimo ndio uti wa mgongo) I use to hear…
Lakini ki ukweli tunataka kuacha kulima kwa sababu tumedharauliwa na kusahauliwa kabisa
Tumeshindwa kuacha kulima kwa sababu hatuna mbadala….
Mbole (simenti, bati, mafuta ya taa, powertilar) ni bei juu sana kuna issue ya vocha za mbolea (ruzuku ya serikali)
Mkulima masikini anapaswa kuwa na almost shs laki moja na ushee ili
Uweze kutumia package ya mbolea ya ruzuku kupandia, kukuzia na mbegu nk..Hivi bibi, babu na mjombako kule Kijijini anapata wapi hizo fedha?


Haya tunapovuna mazao yetu tunapangiwa bei (pamba, kahawa) na pa kuuzia ….. kuuza nje marufuku….
Hivi mnataka tufanyeje? Tumlilie nani?
Kwanini wakulima tunateseka hivi…..hizo mnazoziita Sera, itikadi na ….wala hazitusaidii zipo ktk makaratasi yenu tuu.
TUMECHOKAAAAA!!!!!!!!!!!!!

mnachoka kwa sababu ya ujinga wenu. Soma hiii Tanzania Anti Corruption Czar
 
Kwani nyie wakulima mlipiga kura? Kama ndiyo mlipigia chama gani? Kama mlipigia chama twawala basi tulizeni mshono huo ndo mpango waliouleta kwenu mkaununua kwa kupiga kura.

Msilalamike, unalalamika nini sasa, mliposikia Pinda mtoto wa mkulima mkajua mmebofoa ee, mmeliwa sasa tulieni ivo ivo kama mnanyolewa 4 another 5 hard years to come nadhani mtakuwa na ufaham mpana zaidi.
 
Back
Top Bottom