Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Tunapenda sana kujilinganisha na wengine, na kutwa kusema kwa nini hatuko kama USA, EU au sijui Uchina na Ujapani, lkn kuna jambo moja huwa hatutaki kulikubali na huwa tunalificha chini ya kapeti kwenye kuliganisha kwetu, na ukiniuliza mimi sisi tuko unfair sana kwetu sisi wenyewe, nalo ni hili nitatoa mfano, Columbia University (USA) kilianzishwa mwaka 1750 vs University of Dar es Salaam (TZ yetu) kilianzishwa mwaka 1970!
Sasa linganisha na hapo ujue USA inaitwa ni New World hivyo sijataka kuongelea old world ya EU, ina maana graduate wa kwanza Colombia alitoka kwenye mwaka 1770 huko graduate wa kwanza TZ labda kwenye miaka 50' kama ukichukulia waliosomea Makerere, Nairobi & Co.
Martin Luther aliandika PhD thesis iliyojulikana kama 95 thesis iliyoibadilisha Dunia mwaka 1517, alipata PhD University huko Ujerumani mwaka 1512, linganisha na sisi!
Hamuoni kwamba mnafanya maisha yenu yawe magumu bila ya sababu kwa kulinganisha visivyolingana? Kama ni demokrasia TZ tumeanza hata kulijua hilo neno miaka ya 80' tena mwishoni wakati USA tangu 1700' huko wanajadiliana demokrasia, hivyo fanyeni lililo muhimu na lililo ndani ya uwezo wenu kwa sasa hayo mambo ya kutaka kuwa kama USA au sijui EU mtachanika msamba, USA ina miaka zaidi ya 300 wakati Tanzania chini ya 60!
Kwanza hata hao Afrika ya Kaskazini tu (Moroko, Aljeria, Tunisia &Co.) wametuzidi hata miaka 50 kwenye kila kitu kama human development, lkn unakuta mtu anasimama anaongelea USA, kuweni realistic acheni kujidanganya hakuna miujiza, ...
Sasa linganisha na hapo ujue USA inaitwa ni New World hivyo sijataka kuongelea old world ya EU, ina maana graduate wa kwanza Colombia alitoka kwenye mwaka 1770 huko graduate wa kwanza TZ labda kwenye miaka 50' kama ukichukulia waliosomea Makerere, Nairobi & Co.
Martin Luther aliandika PhD thesis iliyojulikana kama 95 thesis iliyoibadilisha Dunia mwaka 1517, alipata PhD University huko Ujerumani mwaka 1512, linganisha na sisi!
Hamuoni kwamba mnafanya maisha yenu yawe magumu bila ya sababu kwa kulinganisha visivyolingana? Kama ni demokrasia TZ tumeanza hata kulijua hilo neno miaka ya 80' tena mwishoni wakati USA tangu 1700' huko wanajadiliana demokrasia, hivyo fanyeni lililo muhimu na lililo ndani ya uwezo wenu kwa sasa hayo mambo ya kutaka kuwa kama USA au sijui EU mtachanika msamba, USA ina miaka zaidi ya 300 wakati Tanzania chini ya 60!
Kwanza hata hao Afrika ya Kaskazini tu (Moroko, Aljeria, Tunisia &Co.) wametuzidi hata miaka 50 kwenye kila kitu kama human development, lkn unakuta mtu anasimama anaongelea USA, kuweni realistic acheni kujidanganya hakuna miujiza, ...