Mtamba wa Panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 695
- 1,712
- Thread starter
- #121
Mbona niko vizuri tu bob!Tafuta hela,mzigo ukiwepo watakuganda kama sisimizi wanavyoganda kopo la sukari
Mbona niko vizuri tu bob!Tafuta hela,mzigo ukiwepo watakuganda kama sisimizi wanavyoganda kopo la sukari
Acheni uongo.. kula mademu kimasikhara haiwezekani!Mkuu sio kawaida hiyo.. Itakuwa ni gundu. Vp mbini za kibaharia na kimasihara nazo zinagonga mwamba
Msaada wako please!Wanawake wa sasa walivyo walaini mpk sie wenzako tunstsfuta njia ya kuwaepuka wewe wanakukataa wote duuu!
Kuna tatizo mahali
Mbona niko vizuri tu mkuu..Tafuta hela ukizipata uje utoe mrejesho hapa
Naogopa kufumaniwa..mwanamke akiwa na mtu wake ndio hangoki ??
Hapana kaka.. sina uoga kwenye kutongoza ila sifanikiwi kung'oaWe jamaa unaogopa kutongoza.
Hapana kaka.. sina uoga kwenye kutongoza ila sifanikiwi kung'oa
Hahahahhah eti washamba pambana nduguKaka siendi kwa high class wala nini, ni hawa hawa wa mtaani wanaoliwa na washamba.. ila mimi nabaniwa
Kichwa Kichafu badilika uwe kichwa kisafiMtamba wa panya badilika uwe mtamba wa mademu!
jmnAu una sura ngumu kama Mchawi?