BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Kwa muda sasa nimekua naunga juhudi za serikali hii, na nimefurahishwa na jinsi ambavyo serikali inajali maslahi ya Watanzania.
Pia nimezidi kupata furaha sana hata katika mapambano haya ya ugonjwa ya COVID 19, jinsi serikali chini ya Mhe Rais, J.P Magufuli kua mstari wa mbele bila kuyumbishwa na mabeberu katika mapambano haya ambayo tumeyashinda.
Ila nadhani kwa sapoti hii ni haki yangu kua mwanachama HAI kabisa, ila kwa muda sasa nimeshaomba maombi zaidi ya mara 3 mikoa tofauti ila sijawahi kufanikiwa kupata kadi ya uanachama wa CCM. Natakiwa niwe mwanachama hai na sio mwanachama jina.
Kama kuna mtu kwenye system anaweza nisaidia ntashukuru sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia nimezidi kupata furaha sana hata katika mapambano haya ya ugonjwa ya COVID 19, jinsi serikali chini ya Mhe Rais, J.P Magufuli kua mstari wa mbele bila kuyumbishwa na mabeberu katika mapambano haya ambayo tumeyashinda.
Ila nadhani kwa sapoti hii ni haki yangu kua mwanachama HAI kabisa, ila kwa muda sasa nimeshaomba maombi zaidi ya mara 3 mikoa tofauti ila sijawahi kufanikiwa kupata kadi ya uanachama wa CCM. Natakiwa niwe mwanachama hai na sio mwanachama jina.
Kama kuna mtu kwenye system anaweza nisaidia ntashukuru sana.
Sent using Jamii Forums mobile app