mkubwa wapo ila hawavumi tu...ukienda huko wale wazee hasa wa koo wanajua fulani ni mtaalamu wa mitishamba, inawezekana hawawaiti waganga ila ukweli ni walewale tu... sema tu si unajua kuna makabila ambayo yanavuma kwa sababu yanaaminika ni kiboko katika mambo haya kama vile watu kama kutoka sumbawanga, tanga lakini pia siku hizi hata kenge nao wanaingia kwenye msafara wa mamba, unaweza kukuta masawe ndo mganga, ila kwa kuwa sumbawanga inavuma basi atabadili jina na anapotoka badala ya moshi atajifanya anatoka sumbawanga ili auze.
Ila hii haimaanishi kuwa mahali pengine hawapo, wapo ila hawavumi!!!
Ila hii haimaanishi kuwa mahali pengine hawapo, wapo ila hawavumi!!!