Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 4,550
Ok sawa ila kama kuna mtu namanga book ufanye pay after delivery apo namanga ,ila mimi nimeshazoea maumivu ya kusubir mda mref pale mjini aliexpress so sina shakaWangekuwa ni duka liko Nairobi ni sawa ila hawa ni wauzaji wa online na stores zao zipo Nairobi ndio. Hawa wauza mahindi hawajui mambo haya unaweza mtuma Note 10 Pro akaleta Note 10 maana zinafanana muundo. Kuna hatari fulani