Kwanini Simu za kichina zina sauti kubwa? Au masikio yao hayasikii vizuri?

mshikachuma

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
2,853
626
Wandugu hizi cim za kichina kwani vipi? mbona zina milio ya kelele na sauti kubwa sana?
ndiyo kusema huko China wakazi wote hawasikii vizuri....i mean masikio yao hayafanyi kazi?
Yaani simu zao zinakelele usipime! kama unaugonjwa wa moyo alafu ghafla cim ya kichina inaita
waweza kufa ghafla. Na je cim za kichina zinapunguzika sauti?
 
Waligundua idadi kubwa ya wabongo matumiz ya simu is 4 call&receive na kusikilisa muziki basi. Hivyo wakamua kuweka subwoofer kwenye simu zao ili wapenda muziki hasa teenagers wazinunue kwa sana na wale warugaruga, si unajua kuna kabila moja nynnda za kati wanatembea na redio ya mkulima hadi leo machungani na kwenye mashamba ya tumbaku? Sasa mtu kama huyu apate cm ya mchina cheap na ina mziki wa kufa mtu ataacha kununua akanunue bb?
 
zinapunguzika, ukipunguza mpaka mwisho sauti yake ni sawa na sauti ya nokia iliyoongezwa mpaka mwisho.
Mmh! kama ni hivyo basi ni balaa mtindo mmoja....nikitaka nizinunue ili niwapelekee wazee bush lakini basi
 
Mmh! kama ni hivyo basi ni balaa mtindo mmoja....nikitaka nizinunue ili niwapelekee wazee bush lakini basi


Wanunulie Nokia za tochi watakushukuru kweli.
Zinadumu hizo,mi nnayo ya toka 2002 bado inadunda,sio hyo michina ikiikaa miezi 3 tu ina expire.
 
Ni kwasabab Simu wanazo import africa ni the lowest class thile 1st class na 2nd class zenye ubora mzuri zinapelekwa mabara mengine
angalia simu kama HTC andriod inasifika zaidi duniani ila bei hatutoiweza tutabaki na hivi viberiti vyetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom