KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Waslam huamini siku ya Ijumaa ni siku takatifu na ni siku ya kumwabudu Mungu.
Na wako kwenye mchakato wa kuomba iwe siku ya mapumziko kama wakristu ambazo kwao Jpili ni siku ya mapumziko.
Maandamano mara nyingi huongozwa kwa jazba, kejeli,matusi,vurugu, mauaji nk
Inakuaje tena baada ya Ibada wanakua na ajenda ya kuandamana, bila kujali kitendo hicho kitawaondolea ile udhu au baraka walioipata hapo kabla?
Mbona mimi siku ya Ibada au nikitoka kusali najihisi nina unyenyekevu, utu wema, fadhila na mwenye upako kiasi kwamba siwezi kufanya upuuzi wa kubeba jeneza na pengine linamaiti ndani na kuanza kuandamamna nalo barabarani?
Kuna recordi yeyote duniani wakristu wamewahi kuandamana Jpili siku ambayo sio ya kazi (pengine ingekua advantage) na kubebelea majeneza?
Tafadhali naomba haya mafundisho ya kwenye Wagalatia yawe yanafundishwa kwenye mahubiri yenu.
Wagalatia 5:22-25 "Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi.
Mhubiri 2;15 ROHO WA MUNGU AWAPE HEKIMA YA KUYATAFAKARI MANENO HAYA. Asanteni.
Na wako kwenye mchakato wa kuomba iwe siku ya mapumziko kama wakristu ambazo kwao Jpili ni siku ya mapumziko.
Maandamano mara nyingi huongozwa kwa jazba, kejeli,matusi,vurugu, mauaji nk
Inakuaje tena baada ya Ibada wanakua na ajenda ya kuandamana, bila kujali kitendo hicho kitawaondolea ile udhu au baraka walioipata hapo kabla?
Mbona mimi siku ya Ibada au nikitoka kusali najihisi nina unyenyekevu, utu wema, fadhila na mwenye upako kiasi kwamba siwezi kufanya upuuzi wa kubeba jeneza na pengine linamaiti ndani na kuanza kuandamamna nalo barabarani?
Kuna recordi yeyote duniani wakristu wamewahi kuandamana Jpili siku ambayo sio ya kazi (pengine ingekua advantage) na kubebelea majeneza?
Tafadhali naomba haya mafundisho ya kwenye Wagalatia yawe yanafundishwa kwenye mahubiri yenu.
Wagalatia 5:22-25 "Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi.
Mhubiri 2;15 ROHO WA MUNGU AWAPE HEKIMA YA KUYATAFAKARI MANENO HAYA. Asanteni.