monaco
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,184
- 1,761
Sasa Mbona wadada wa JF huwatongozi Mkuu?Mimi ninapokosa Hela / Pesa ndiyo nakuwa na ' Nyege ' sana halafu kila ' nikitongoza ' sikataliwi ila huwa nakosa ' Mtonyo ' wa Kulipia Gesti / Loji nabaki Kusikitika na Kununa tu.
Acha kuwabania wakati hela Unazo na U handsome pia!