Director D
Senior Member
- Feb 24, 2016
- 192
- 229
Habari Wakuu
.
Binafsi Nimekuwa Najiuliz sana hili swala kwa kuwa nimelitazama kwa kina jambo hili na kugundua kuwa limekuwa tatizo kubwa linaloadhiri jamii nyingi sana.
.
Yaan ukiongea na watu watano juu ya matatizo ya familia zao watatu kati yao watakwambia juu ya tatizo hili la watu wengi wenye uwezo wa kifedha kwenye familia kupenda kusaidia watu back zaidi kuliko ndani ya familia au ukoo wake,
.
Mfano katika familia yangu wapo ndugu kibao ambao wapo tayari kusaidia watu back kuliko ndugu wa damu
.
Simaanishi kuwa watu wa nje ya familia wasisaidiwe la hasha..! ila waswahili husema kuwa
Huwezi Kwenda Kwa Jirani Kama Hujatokea Kwako...
.
Je Ni Zipi sababu za tatizo hili kushamiri kwa kasi sana
.
Nawasilisha.....
.
Binafsi Nimekuwa Najiuliz sana hili swala kwa kuwa nimelitazama kwa kina jambo hili na kugundua kuwa limekuwa tatizo kubwa linaloadhiri jamii nyingi sana.
.
Yaan ukiongea na watu watano juu ya matatizo ya familia zao watatu kati yao watakwambia juu ya tatizo hili la watu wengi wenye uwezo wa kifedha kwenye familia kupenda kusaidia watu back zaidi kuliko ndani ya familia au ukoo wake,
.
Mfano katika familia yangu wapo ndugu kibao ambao wapo tayari kusaidia watu back kuliko ndugu wa damu
.
Simaanishi kuwa watu wa nje ya familia wasisaidiwe la hasha..! ila waswahili husema kuwa
Huwezi Kwenda Kwa Jirani Kama Hujatokea Kwako...
.
Je Ni Zipi sababu za tatizo hili kushamiri kwa kasi sana
.
Nawasilisha.....