Kwanini siku hizi mahusiano ya kimapenzi kati ya baba mzazi na binti yameshamiri sana?

Alichokosea mtoa mada nikutumia neno "SHAMIRI" wakati shamiri ni kitu chenye kutokea kwa kuongezeka kila muda unavosonga, kukua kwa haraka. hii tabia ipo lakini bado haijashamiri ipo kwenye familia za uzungu uzungu wanaiga. LIKUD
 
Dunia simama niteremke niliskia enzi hizi bush kwetu mzee anakula bint zake

Wengi ukiona wanakula mabinti zao ujue mama zao walikuja nao. Ila inahitaji moyo sana kupiga ulie zaa hapa hata shetani atakukana tuu
 
Siku hizi limekuwa jambo la kawaida sana kwa baba kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti yake wa kumzaa mwenyewe.


Tatizo Ni Nini wakuu? Ni tamaa za kingono au Kuna sababu za kishirikina nyuma yake?
Ukifikiria kama binti anaweza kusex na babaake basi fikiria kama wewe unaweza kusex na mamaako then jiulize inawezekana?. Msilete story za kufikirika mradi kufurahisha njozi zenu kwa wengine. Jirikirie wewe unaweza kusex na mamaako kwanza?
 
Mtoto ukiniruhusu tu akuite Daddy matatizo yanaanzia hapo Yani, kwasababu neno, "baba" linabeba dhana nzima ya heshima. Naam heshima kubwa ambayo mtoto hawezi kengeuka kwa namna moja ama nyingine.

Neno, "Baba" linaibeba heshima ya Mwafrika halisi ikiwa pamoja na mavazi, lugha na tabia kiujumla. Mtoto anakuwa na staha akitamka Baba kwanza anakuwa na Hofu,ujingaujinga hakuna tena Sasa huu uzungu wa daddy sijui Nini ndo kulana huko heshima Hakuna hata kidogo.
 
Kuna mtu amekuambia kuandika Kiingeleza ndiyo kujibu swali.

Dar kuna watu zaidi ya milioni sita, asilimia 30 ya milioni sita ni 1.8, Unataka kusema wababa milioni moja na laki nane Dar wanafanya mapenzi na mabinti zao?

Au unaongea ongea tu.
Kiingeleza ni kitu gani? Swali rahisi kwako wewe, kama kuandika kiswahili unashindwa, Je? kuongea kiswahili.
Unapo toa kasoro kwenye uandishi wa mwenzako hakikisha na wewe upo sahihi.

Wakati natoa maelezo kuwa Tanzania nzima ina 39.99% wewe unashupalia kwa dar es salaam pekee yake.
Mkuu kuwa makini.
 
Wazungu huwa hawana mahusiano ya kingono na watoto wao. Wazungu wanajiheshimu kuliko waafrica wenye tabia chafu na kukosa utu
Udhaifu wa wazungu uko hapo kutembea kufanya conjugal relation na ndg zao labda kama hujawahi kukaa nao.

Pia katika upande wa Africa baba kutembea na mwanae dada mtu shangazi mtu ni jambo la mwisho katika mambo ya ajabu hilo kwa kweli tunajitahidi sana, likitokea ni nadra linahusiana na ushawi ulevi au uendawazimu.
 
ū
Mtoto ukiniruhusu tu akuite Daddy matatizo yanaanzia hapo Yani, kwasababu neno, "baba" linabba dhana nzima ya heshima. Naam heshima kubwa ambayo mtoto hawezi kengeuka kwa namna moja ama nyingine.

Neno, "Baba" linaibeba heshima ya Mwafrika halisi ikiwa pamoja na mavazi, lugha na tabia kiujumla. Mtoto anakuwa na staha akitamka Baba kwanza anakuwa na Hofu,ujingaujinga hakuna tena Sasa huu uzungu wa daddy sijui Nini ndo kulana huko heshima Hakuna hata kidogo.
wewe umeelewa mada, wengine ni bendera fuata
 
Back
Top Bottom