Kwanini siku hizi kuna majina ya nyongeza kwenye Ajira Portal za Serikali?

GOSSO MZEKEZEKE

Senior Member
Dec 13, 2013
142
165
Habari zenu wanaJF

Naona siku hizi kumekuwa na majina ya nyongeza sana kwenye usaili kutoka sekretarieti ya ajira. Na nahisi hii inatokea baada ya wengi mfumo kuwakataa na kupeleka malalamiko na baada ya uchunguzi wanaona ni kweli na ndio maana wanaongeza majina.

Swali langu ni kwanini wa-set mfumo ambao uwakatae baadhi wa waombaji wenye sifa na vigezo vyote?
 
Habari zenu wanaJF

Naona siku hizi kumekuwa na majina ya nyongeza sana kwenye usaili kutoka sekretarieti ya ajira. Na nahisi hii inatokea baada ya wengi mfumo kuwakataa na kupeleka malalamiko na baada ya uchunguzi wanaona ni kweli na ndio maana wanaongeza majina.

Swali langu ni kwanini wa-set mfumo ambao uwakatae baadhi wa waombaji wenye sifa na vigezo vyote?
Yawezekana...kwasababu mara nyingi unakuta una vigezo vyote but mfumo unakugomea
 
Ni kweli,huwa kuna watu wanakata rufaa sababu kama hiyo na nyingine ya kiufundi mfano kuna mwengine anaandikiwa hajacertify vyeti lakini wakati anaomba ali-certify hivyo anapokata rufaa wakienda kwenye mfumo wanakuta kweli hivyo wanamjumlisha kwenye orodha, issue ya kozi ikikuataa mwanzoni tu,watumie taarifa wataishughulikia
 
Back
Top Bottom