Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,559
😁😁😁mnakua na muda wa kuremba walati mwenzako muda huo anatumia kuhesabu miamala
Mkuu wachache sanaila wapo pia wenye ukwasi na sahihi zao ndeeeefu hii unajua ni ya nani?
View attachment 976558
😁😁😁Coz ni saini za wizi
Hashim Rungweila wapo pia wenye ukwasi na sahihi zao ndeeeefu hii unajua ni ya nani?
View attachment 976558
Donald Trumpila wapo pia wenye ukwasi na sahihi zao ndeeeefu hii unajua ni ya nani?
View attachment 976558
hiyo ya "tilampu laisi wa malekani"Hashim Rungwe
anhekua gavana wa benki huyu nadhani sahihi yake ingeanzia mwanzo huu wa noti mpka mwishoNa hii hapa chini Ni signature ya Franklin Delano Roosevelt. Rais wa 32 wa USA. Kwa hiyo naye alikuwa kapuku? Acheni kukariri bhana. Pesa ni pesa haiangalii signature View attachment 979797
Sent using Jamii Forums mobile app
anhekua gavana wa benki huyu nadhani sahihi yake ingeanzia mwanzo huu wa noti mpka mwisho
ila wapo pia wenye ukwasi na sahihi zao ndeeeefu hii unajua ni ya nani?
View attachment 976558
Trump's...Hii ni ya jamaa wa mjengon nadhan umeitoa kwenye ile kadi ya xmars waliopelekewa clouds tv 360
Sent using Jamii Forums mobile app
Uoga tu naoNa hii hapa chini Ni signature ya Franklin Delano Roosevelt. Rais wa 32 wa USA. Kwa hiyo naye alikuwa kapuku? Acheni kukariri bhana. Pesa ni pesa haiangalii signature View attachment 979797
Sent using Jamii Forums mobile app