Nimekuwa nikifatilia matokeo ya mitihani ya Kitaifa especially kidato cha nne na kidato cha sita.
Hoja yangu ni kwanini wazanzibari na shule za uko ndo huongoza kushika namba za mwisho wakati mwingine unakuta katika shule 10 za mwisho Zanzibar ina shule nne mpaka sita katika orodha hiyo..
Tatizo ni wanafunzi au walimu....??
Naomba kuwasilishaa...
Hoja yangu ni kwanini wazanzibari na shule za uko ndo huongoza kushika namba za mwisho wakati mwingine unakuta katika shule 10 za mwisho Zanzibar ina shule nne mpaka sita katika orodha hiyo..
Tatizo ni wanafunzi au walimu....??
Naomba kuwasilishaa...