MAKOSHNELI
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 930
- 1,552
inside Job hiyo mzee ilipangwa na CIA pamoja na Mossad then ikatekelezwa na Mossad wakishirikiana na Saudi Arabia Kwa lengo la kufanya kitu wanaitwa "FALSE FLAG OPERATION" yaani operation ya kujitakia ili kupata uhalali wa kufanya oparation nyingine kubwa na yenye manufaa kwa taifa,nchi nyingi sana duniani zinafanya hivyo Marekani walisharuhusu japani iwashambulie kwenye Ghuba ya "Pear Harbour " ili wapate sababu ya kuingia vitani kusudi waingie kwenye vita ya pili ya dunia kumsaidia muingereza ,Urusi imeshawahi ruhusu waasi wa chechnia kuteka lile jumba la sinema ili waivamie chechnia na kuichukua kiujumla hadi leo,ujerumani,ufaransa,uingereza na wengine weengi wanafanya hivyo
September 11 iliundwa itokee lengo lilikuwa kuipiga IRAQ,IRAN,SYRIA then LIBYA na hiyo AFGHANISTANI ilikuwa kwaajili ya kucontrol biashara ya Opium (Heroine) tu na hio yoote ni kuhakikisha marekani na washirika wake wana control nchi zoote zenye uzalishaji wa mafuta duniani pale middle east na Latin America ili waweze kucontrol uchumi wa mataifa yanayokuwa kiuchumi na kuwa tishio kwake (Urussi,China,India na Pakistan),kumbuka ukuaji wa uchumi unashawishiwa sana na energy sector (biashara ya Mafuta ghafi)
Baada ya September 11 Ilipigwa IRAQ akawekwa kibaraka wao,Ikapigwa Afghanistani kawekwa kibaraka wao then alivyoingia Obama akatekeleza Masalio yaliyobakia Ambayo ni LIBYA,akaacha choko choko SYRIA,VENEZUELA na IRAN ,baada ya kuona Hivyo Urussi na China wameingilia kati ndiomaana wameweka kambi zao Venezuela,Iran na Syria ndiomaana unaona Trump anakomaa kumpiga Syria IRAN na Venezuela mpango ni ule ule wa enzi na enzi
Advantage ya sept 11 itawapa favour wamarekani na washirika wake hasa israel kwa miaka takribani 50 mbele Fuatilia haya mambo hata google kitu inaitwa " THE GREATER ISRAEL PLAN" na tafuta kitabu cha mtu anaitwa "Zbigniew Brzezinski" kinaitwa "THE GRAND CHESS BOARD" hizi plan zoote zipo humo maraisi wa marekani/israel wanafuata tu mipango ya utekelezaji TU!
Kwa akili ya kawaida we unadhani waarabu 15 wenye visu vya kukatia mabox waliweza kuteka kweli zile ndege zoote kwa siku moja halafu wakatekeleza yale mashambulizi? bila vyoombo vyoote vya marekani kujua?? is it coming coming??