Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,688
Yani kuna dhambi za uzinzi, uongo, wizi, na vyote vinampeleka mtu motoni ila cjaelewa kwanini ibilisi anapenda sana kupigia promo ushoga kupitia filamu za hollywood, mitandao, nyimbo za wasanii, taasisi kubwa za kifedha duniani, na mataifa makubwa, hadi kufikia baadhi ya mataifa kuhalalisha ushoga kwenye sheria zake
Ushoga unahalishwa wa kisingizio cha haki za binadamu lgbtq rights, kwa mtu mwenye akili timamu anaefatilia mitandao atagundua hii dhambi inafosiwa sana kuingizwa kwenye akili zetu ili ionekane kama ni jambo la kawaida.
Sijajua aim ya shetani kwenye hilo ni nini
Ushoga unahalishwa wa kisingizio cha haki za binadamu lgbtq rights, kwa mtu mwenye akili timamu anaefatilia mitandao atagundua hii dhambi inafosiwa sana kuingizwa kwenye akili zetu ili ionekane kama ni jambo la kawaida.
Sijajua aim ya shetani kwenye hilo ni nini