Maxmax72
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 522
- 963
We jamaa ni kilaza rudi shuleTunaposema Mpira wa Tanzania Umejaa SIASA ni kwa Mambo kama haya.TFF na NBC Ltd wameingia Mkataba wa NBC Kuidhamini LIGI KUU Tanzania na Moja ya Nasharti ni VILABU vyote lazima VIVAE NEMBO YA MDHAMINI KAMA ILIVYO BILA MASHARTI YOYOTE Kanuni na 16(1:1) yahusika.
Leo Katika Mechi ya YANGA na AZAMU tumeshuhudia Timu ya YANGA ikivaa Jezi zenye NEMBO yenye RANGI Tofauti na NEMBO ya Mdhamini Kinyume na Kanuni na 16(1:1) ya MKATABA wa TFF na NBC Ltd.
Je kwanini YANGA Hawaheshimu MKATABA wa TFF na NBC Ltd?
Kwanini TFF na NBC Ltd Wairuhusu YANGA tu Kuvaa NEMBO TOFAUTI na NEMBO ya Mfadhili?
Je VILABU vingine navyo VIKITOA masharti tofauti na Mkataba Itakuwaje?
TFF Acheni SIASA kwenye MPIRA Heshimuni SHERIA na KANUNI zilizopo KISHERIA View attachment 1992529