matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,275
- 14,509
Nimefunguliwa akili na wanaharakati flani wa Iran wakiipa changamoto serikali yao. Wanadai Janga la korona limekwanyua uchumi wa nchi yao lakini katika sherehe za kitaifa wao wanaonyesha mambomu mapya waliyoyabuni badala ya maonyesho ya vile ambavyo serikali imefanya kuwaondoa katika wimbi la umasikini.
Badala ya maonyesho yetu ya uhuru kujikita kwenye judo na magwaride ziongezwe package nyingine show za kiuchumi ambazo zitasaidia watu wapate hamasa za kiuchumi.
Maana uhuru tulioupata sio kutoka katika ukandamizwaji wa kijeshi na kikoloni tu bali hata ukombozi wa kifikra na kiuchumi.
SIku hiyo kungekuwa na maonyesho angalau hata ya wanasayansi wetu bora, watu waliofanya mambo makubwa kimaendeleo nchini, na ubunifu mwingine utakaoambatana na ubunifu wa kijeshi.
Maoni...
Badala ya maonyesho yetu ya uhuru kujikita kwenye judo na magwaride ziongezwe package nyingine show za kiuchumi ambazo zitasaidia watu wapate hamasa za kiuchumi.
Maana uhuru tulioupata sio kutoka katika ukandamizwaji wa kijeshi na kikoloni tu bali hata ukombozi wa kifikra na kiuchumi.
SIku hiyo kungekuwa na maonyesho angalau hata ya wanasayansi wetu bora, watu waliofanya mambo makubwa kimaendeleo nchini, na ubunifu mwingine utakaoambatana na ubunifu wa kijeshi.
Maoni...