Kwanini Serikali za Kiafrika zinaogopa Maandamano ?

Steven Mamba

Member
Feb 14, 2015
39
15
Kwanini serikali ya Magufuli inaogopa maandamano ? Nchi kuruhusu maandamano, uhuru wa habari nk ni ishara hiyo nchi imekomaa kidemokrasia. Kwanini tuna rudi nyuma ? Watanzania washamkubali sana Magufuli, kila siku wanampongeza na kumsifia kwa kazi nzuri anayoifanya. Watanzania wengi waliowapigia upinzani kura leo wanamkubali Magufuli. Tanzania ni nchi ya kidemokrasia katiba na sheria ya nchi inaruhusu maandamano na mikutano ya siasa. Kuwazuia upinzani wasiandamane inasaidia nini serikali ya JPM ? Binafsi nakubaliana na kauli ya raisi wabunge waende kufanya mikutano majimboni kwao lakini sheria ni sheria na sheria inwaruhusu chadema kufanya mikutano yao. Watu wakiandamana masaa matatu manne kisha wakaenda zao manyumbani inawakera nini serikali ? Kama sio ubabe usio na maana. Kama ni machafuko na watu kuumia yataletwa na serikali na sio mtu mwingine. Tusubirie CNN
 
tatizo sio zinaogopa.watu wengi wanaamini kumalizana kisiasa ni lazima kufanya jambo ambalo litasababisha mazara ambayo migomo,vita na machafuko.ndo maana ukataka
 
tatizo sio zinaogopa.watu wengi wanaamini kumalizana kisiasa ni lazima kufanya jambo ambalo litasababisha mazara ambayo migomo,vita na machafuko.ndo maana ukataka
Upinzani hawana nyodo ya kummaliza mtu kisiasa waache waandamane ndio watazidi kuonekana wamechoka
 
Maandamano yanaweza kumtoa kuongozi madadakani. Mfano kule Misri. Mohamed Morsi aliondolewa madarakani kwa maandamano.
 
Kup
tatizo sio zinaogopa.watu wengi wanaamini kumalizana kisiasa ni lazima kufanya jambo ambalo litasababisha mazara ambayo migomo,vita na machafuko.ndo maana ukataka
Kupotezeana muda tu.
Hivi ndio lengo la vyama vya siasa
 
Kwani usipoandamana huli? hulali?. Tuacheni kucheza ngoma tusiyoijua. Tufanye kazi ili kujiletea maendeleo binafsi na kwa Taifa zima ndiyo siri ya mafanikio kuelekea nchi ya kipato cha kati
 
Back
Top Bottom