Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Serikali ya ccm sijaelewa njiani hugawa cash sana kuliko kuzingatia bajeti iliyopangwa katika eneo husika na siku hizi anatembea nazo hasa kwe ye nyumba za ibada na kugawa maburungutu na haijulikani zinatoka wapi.
Katika maongezi na Waziri Mkuu wa India nimegundua kuwa miradi ya maki ya nchi hii inaendeshwa kwa mikopo ya mabebebru inamaana wagigoma kuitoa maji hayatamfikia mwananchi.
Najiuliza inamaana miradi muhimu kama hii iweje itegemee mikopo ya mabeberu na huku majengo yanakimbizwa na fedha cash na tunajiita sie matajiri?
Katika maongezi na Waziri Mkuu wa India nimegundua kuwa miradi ya maki ya nchi hii inaendeshwa kwa mikopo ya mabebebru inamaana wagigoma kuitoa maji hayatamfikia mwananchi.
Najiuliza inamaana miradi muhimu kama hii iweje itegemee mikopo ya mabeberu na huku majengo yanakimbizwa na fedha cash na tunajiita sie matajiri?