Hebu na wewe jiulize,
Vijana wa Arusha wengi wao waendesha toyo (bodaboda) waliikataa CCM yote kuanzia rais, mbunge hadi madiwani lakini ndio waliopewa upendeleo wa pikipiki.
View attachment 442472
Je, serikali ya CCM inatuma ujumbe gani kwa vijana wa Dodoma na sehemu zingine ambao walikesha kuichagua CCM kuanzia rais, madiwani na wabunge wote kutoka CCM, watajisikiaje?
Quinine.
Vijana wa Arusha wengi wao waendesha toyo (bodaboda) waliikataa CCM yote kuanzia rais, mbunge hadi madiwani lakini ndio waliopewa upendeleo wa pikipiki.
View attachment 442472
Je, serikali ya CCM inatuma ujumbe gani kwa vijana wa Dodoma na sehemu zingine ambao walikesha kuichagua CCM kuanzia rais, madiwani na wabunge wote kutoka CCM, watajisikiaje?
Quinine.