EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Sote tunajua Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda alirudi jana akitokea Afrika Kusini alipokuwa akitibiwa. Lakini jambo la kushangaza kwa serikali yetu na hasa chama tawala CCM kutojitokeza kumpokea kama wafanyavyo kwa watu wengine wakiwemo wasanii pindi warudipo. Kitendo kama hiki kimeniacha na sintofahamu hadi pale Kibanda mwenyewe atapotoa yaliyo moyoni kama alivyoahidi.