Naomba kutoa wazo kwa waziri serikali kwanini wanaendelea kutoa mabilioni ya fedha kuwapa kampuni za ukaguzi kama KPMG. E&Y, PWC kufanya ukaguzi kwa taasisi za umma kama BOT na sehemu zingine . ninachokiona ni kwamba taifa kwa mfano linatumia zaidi ya bilion 30 kufanya ukaguzi kwenye bank kuu (BOT) pekee lakini kumbuka kazi hizi zingeweza kufanya na National Audit chini ya CAG na kama tunahitaji kwenda mbele basi ni wakati taasisi hii kuongezewa nguvu na washirikiane na TRA kubana makampuni ya madini, mashirika ya simu yani VODACOM ,TIGO NA AIRTEL kwenye ukwepaji wa kodi .
kwa mfano leo ukiangalia ukwepaji wa kodi kwenye sekta ya simu
kuna namba za simu milioni 17 na wastani wa matumizi ta vocha ni kama sh 600 kwa kila mtu hivyo ukitazama pato lao ni
17,000,000 X 600 = bilion 10.2 kwa siku
10.2 x365 = bilion 3723 kwa mwaka
3723 bilion X 18%( VAT) =bilioni 670 hii ni kodi ambayo TRA walistahili kupata yani ni VAT pekee lakini kuna kodi zingine ambazo ni corporate tax ambayo ni 30% ya faida lakini sijaongelea hapo je tuagalie kama tungedhibiti kodi kwenye makampuni ya simu kwenye vitengo vyote
Kwenye sekta ya mawasiliano
1. vat ni 670 bilioni
2.internet service kwenye taasisi za umma ?
3.M-PESA charge za kutuma fedha ?
4. Corparate tax 30% ?
kwenye sekta ya madini
1. VAT ?
2.corparate ?
3.royalty ?
kwanini tuendelee kupoteza fedha nyingi na tusianza kutumia shirika letu la ukaguzi washirikiane na TRA kudhibiti tatizo ili na kulinda rasilimali za taifa badala ya kuendelea kutumia kampuni za kigeni ? je tumeshindwa kuajiri vijana wetu wa NAO na TRA kudhibiti tatizo hili
kwa mfano leo ukiangalia ukwepaji wa kodi kwenye sekta ya simu
kuna namba za simu milioni 17 na wastani wa matumizi ta vocha ni kama sh 600 kwa kila mtu hivyo ukitazama pato lao ni
17,000,000 X 600 = bilion 10.2 kwa siku
10.2 x365 = bilion 3723 kwa mwaka
3723 bilion X 18%( VAT) =bilioni 670 hii ni kodi ambayo TRA walistahili kupata yani ni VAT pekee lakini kuna kodi zingine ambazo ni corporate tax ambayo ni 30% ya faida lakini sijaongelea hapo je tuagalie kama tungedhibiti kodi kwenye makampuni ya simu kwenye vitengo vyote
Kwenye sekta ya mawasiliano
1. vat ni 670 bilioni
2.internet service kwenye taasisi za umma ?
3.M-PESA charge za kutuma fedha ?
4. Corparate tax 30% ?
kwenye sekta ya madini
1. VAT ?
2.corparate ?
3.royalty ?
kwanini tuendelee kupoteza fedha nyingi na tusianza kutumia shirika letu la ukaguzi washirikiane na TRA kudhibiti tatizo ili na kulinda rasilimali za taifa badala ya kuendelea kutumia kampuni za kigeni ? je tumeshindwa kuajiri vijana wetu wa NAO na TRA kudhibiti tatizo hili