Sio siri ninavyoona mimi CHADEMA wakizungusha bakuli kwa ajili ya ujenzi wa madarasa kila mkoa tutapata fedha za kutosha, tusikae tukaona aibu au kujifanya tunaweza, inawezekana tukubali matokeo na tuombane msamaha kama kuna sehem tumekosea na hatukujua itasababisha mengine kukwama ili tufanye mengine kwa pamoja.
Nimeona kabisa vyama vingine vimegoma kuzungumzia uhaba wa madarasa maana wanajua kuna maneno makali sana yatatokea na hawako tayari kuyavumilia. ila ndivyo tumechagua hivi sasa tumejifunza hatutarudia tena.
Nimeona kabisa vyama vingine vimegoma kuzungumzia uhaba wa madarasa maana wanajua kuna maneno makali sana yatatokea na hawako tayari kuyavumilia. ila ndivyo tumechagua hivi sasa tumejifunza hatutarudia tena.