Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda wanao kama wanaangalia hd shikawadu hawaezi kosa mda wa kupitia hukuInapata wapi muda wa kusoma mitandaoni?
Ni kweli Boss tena mkuu yuko sensitive sana na Military issue, Hawezi kuruhusu Wanyarwanda kuja kumguard hapa ile hali most of them tuna wa train wenyewe apa nchini, Raisi ana imani kubwa sana na vyombo vya UsalamaUhuru wa kuongea ukizidi unakuwa uhuru wa kuvunja sheria, katika hali ya kawaida na yenye kueleweka, haiwezekani amirijeshi mkuu wa nchi akadharau vyombo vyake vya ulinzi na usalama na kuomba askari toka nchi nyingine kuja kumlinda, huu ni uzushi wa kijinga sana.
Tanzania ina kila aina ya askari wa ulinzi na wanausalama hata makachero wenye mafunzo imara katika medani zao,
Jamiiforums lazima muangalie habari za kujadiliwa humu na mjaribu kujiepusha kujadili masuala ya kiusalama kujadiliwa na watu wasioyajua kwa undani na kujikuta wanapotosha.
Mkuu kitendo hicho kinadhihirisha udhaifu mahala fulani au wanashare uzoefu?Rais wa Kongo analinda na Komando from Tz...
Sio kila uzushi unajibiwaNi miezi sasa kama 6 toka ikulu na Rais wetu wamekuwa wakituhumiwa kuwatumia makomando kutoka Rwanda kumlinda Rais na hii ilianza tu mara baada ya rais kufanya ziara Rwanda.
Na Kagame kufanya ziara nchini na Magufuli kusema atawachukua wataalamu kutoka Rwanda kuja kufanya kazi nchini.
Je nikweli Tanzania Rais analindwa na makomando kutoka Rwanda na kama ni kweli je Tanzania haina makomando?
Je kama sio kweli kwanini Ikulu awakanushi habari hizi?
kwa hoja kama hizi zako hakuna haja Ya serikali kukanusha lolote, iko siku mama ataambiwa "mwana si wako"Ukweli hata yule mkuu wa faya ni mrwanda
Swissme
Tayari wewe ccm umekanushakw
kwa hoja kama hizi zako hakuna haja Ya serikali kukanusha lolote, iko siku mama ataambiwa "mwana si wako"
Umeeleweka kuliko maelezo yakoKagame is a killer ,japo sizonje ankera bt we still love him coz ni wetu ,ndgu yako ht kiw kichaa huez muacha apotee
OkMi nasubiria mabinti wa kinyaruanda nao tuletewe
Ila ulinzi wa mwendazake ulikuwa ni shida. Kuna wanyarwanda waliojipenyeza jeshini?Hakuna kitu kama hicho hio Security Detail ya mkuu yote ni Raia Wa Tanzania tena wazawa halisi wa Hapa na Background zao wanazo hao wanao wa assign Contract hakuna Mtu anaweza Penya na kushika mtutu mbele ya Raisi bila kuwa mzawaliwa wa hapa,ndani ya Detail Hao Counter assault Team (CAT) mnaowaona na Heavy weapon Nearby mkuu ni wabongo halisi, Hata wale Wa pale ikulu Uniformed ni Raia wa kuzaliwa hapa
Hio inshu ya Wanyarwanda kupenya kwenye majeshi yetu ipo ila kwa kiwango kidogo na inadhibitiwa na wenye dhamana, Lakini kusema wafikie detail protection ya mkuu Hio haiwezekani hata kidogo
Kwani kwa mama yenu hao usalama vip protection personnels hawapo?Ila ulinzi wa mwendazake ulikuwa ni shida. Kuna wanyarwanda waliojipenyeza jeshini?
Binafsi sikudhani wala sidhani kama ni wanyarwanda. Ila ulinzi wa huyu mama nao ni shida tupu. Unakaribiana ama labda unaweza kuuzidi ule wa jiwe.Kwani kwa mama yenu hao usalama vip protection personnels hawapo?
Mnadanganywa eti ni wanyarwanda