Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,667
- 26,119
Unataka serikali ianzishe kitengo maalum cha kukanusha uzushi wa "dada" Mange?Ni miezi sasa kama 6 toka ikulu na Rais wetu wamekuwa wakituhumiwa kuwatumia makomando kutoka Rwanda kumlinda Rais na hii ilianza tu mara baada ya rais kufanya ziara Rwanda.
Na Kagame kufanya ziara nchini na Magufuli kusema atawachukua wataalamu kutoka Rwanda kuja kufanya kazi nchini.
Je nikweli Tanzania Rais analindwa na makomando kutoka Rwanda na kama ni kweli je Tanzania haina makomando?
Je kama sio kweli kwanini Ikulu awakanushi habari hizi?