Mkuu unakanushaje rasmi swali lisilo rasmi!uzushi unaishaga kizushizushi tu.Ni muhimu kukanusha rasmi ili wananchi wajue, ubaya upo huwezi kualika walinzi wa ikulu kutoka nchi nyingine, mnaweza kuruhusu kuvuja kwa taarifa nyeti bila kujua
Hiyo sumu baridi tu haiuwi hata mende acha iendelee kuzagaa.Makubwa haya technically! Hii ishu IPO mtaani inazagaa ovyo ovyo sana! Ni bora wakaikanusha mapema, maana sumu inaenea vibaya
MmmmhSio kweli wale majamaa ni wa tz ila walikaa Rwanda mda mrefu sana na hawako huko tu wapo karibia kila nchi ni mambo ya kiusalama zaidi kama una ona wandani wana weza rubunika una wachukua kwa kua hawajulikani inakua ngumu MTU kumuingilia
Uongo unaponyamaziwa maana yake ni ukweliWewe mwenyewe kutumia neno “isikanushe” ni kwamba umeashiria hiyo ni uongo.
Serikali haiwezi kupoteza muda kwenye mambo kama hayo!!
Uoni shida kabisaWith this trend of umbeyas watakanusha mangapi?na ikiwa hivyo kuna shida gani?tuanzie hapo mkuu.
Rais wa Kongo analinda na Komando from Tz...Ni miezi sasa kama 6 toka ikulu na Rais wetu wamekuwa wakituhumiwa kuwatumia makomando kutoka Rwanda kumlinda Rais na hii ilianza tu mara baada ya rais kufanya ziara Rwanda.
Na Kagame kufanya ziara nchini na Magufuli kusema atawachukua wataalamu kutoka Rwanda kuja kufanya kazi nchini.
Je nikweli Tanzania Rais analindwa na makomando kutoka Rwanda na kama ni kweli je Tanzania haina makomando?
Je kama sio kweli kwanini Ikulu awakanushi habari hizi?
Nilishangaa sana sababu huyu bwana namjua mpaka baba yakeMkuu wa faya wa kwetu kabisa mbeya hata kwao napafahamu so sio kweli
With this trend of umbeyas watakanusha mangapi?na ikiwa hivyo kuna shida gani?tuanzie hapo mkuu.
Hivi nayetakiwa KuTHIBITISHA ni nani AkiyeSEMA au serKALI ambayo haijasema hayo. Ukishindwa kutumia Ubongo wa Mbele tumia hata Medula obulangata itatoa majibu sahihiNi muhimu kukanusha rasmi ili wananchi wajue, ubaya upo huwezi kualika walinzi wa ikulu kutoka nchi nyingine, mnaweza kuruhusu kuvuja kwa taarifa nyeti bila kujua
Makomando wa Tz n wacheza sindimba.Tanzania Makomandoo wamekwisha? Au maonyesho siku kuu ya uhuru 9/12 ya vikosi vya makomandoo wa jeshi si vya nchi hii..!!?
WEWE SIO MZALENDO KUMBENi miezi sasa kama 6 toka ikulu na Rais wetu wamekuwa wakituhumiwa kuwatumia makomando kutoka Rwanda kumlinda Rais na hii ilianza tu mara baada ya rais kufanya ziara Rwanda.
Na Kagame kufanya ziara nchini na Magufuli kusema atawachukua wataalamu kutoka Rwanda kuja kufanya kazi nchini.
Je nikweli Tanzania Rais analindwa na makomando kutoka Rwanda na kama ni kweli je Tanzania haina makomando?
Je kama sio kweli kwanini Ikulu awakanushi habari hizi?
Ukweli hata yule mkuu wa faya ni mrwanda
Swissme