Sio kila habar ni ya kukanushwa na ikulu,we kwa ufahamu wako japo kidogo tu unaona hicho kitu kinawezekana!!!!?Ni miezi sasa kama 6 toka ikulu na Rais wetu wamekuwa wakituhumiwa kuwatumia makomando kutoka Rwanda kumlinda Rais na hii ilianza tu mara baada ya rais kufanya ziara Rwanda.
Na kagame kufanya ziara nchini na Magufuli kusema atawachukua wataalamu kutoka Rwanda kuja kufanya kazi nchini.
Je nikweli Tanzania Rais analindwa na makomando kutoka Rwanda na kama ni kweli je Tanzania haina makomando?
Je kama sio kweli kwanini Ikulu awakanushi Habari hizi?
Ulimuona au umesikia tu,acha tension za kitoto mkuu,kwanza mnavyomchukia akifa si wengi tu watafirahi !labda kama unalingine useme tu.Kumbk alimuua kabila
Wewe lazima ni mjita ndiyo mnapenda kusutana hata wanamme.Makubwa haya technically! Hii ishu IPO mtaani inazagaa ovyo ovyo sana! Ni bora wakaikanusha mapema, maana sumu inaenea vibaya
Hta hii thread iko based on rumours mkuu,you will never find vivid facts here rather than assumptionUlimuona au umesikia tu,acha tension za kitoto mkuu,kwanza mnavyomchukia akifa si wengi tu watafirahi !labda kama unalingine useme tu.
Ni muhimu kukanusha rasmi ili wananchi wajue, ubaya upo huwezi kualika walinzi wa ikulu kutoka nchi nyingine, mnaweza kuruhusu kuvuja kwa taarifa nyeti bila kujuaWith this trend of umbeyas watakanusha mangapi?na ikiwa hivyo kuna shida gani?tuanzie hapo mkuu.
Haya tumekanusha ha ha ha ha!Ni muhimu kukanusha rasmi ili wananchi wajue, ubaya upo huwezi kualika walinzi wa ikulu kutoka nchi nyingine, mnaweza kuruhusu kuvuja kwa taarifa nyeti bila kujua
Mara mnasema ni mchaga ss tuwaelewe vp nyie watuAaaah my dada,Mkuu wa faya wa kwetu kabisa mbeya hata kwao napafahamu so sio kweli
Like, seriously? Yaani Marekani wachukue KGB na kuwaweka kwenye kikosi cha ulinzi cha Rais Trump kwa kuwa security detail wa Marekani hawaaminiki!!Sio kweli wale majamaa ni wa tz ila walikaa Rwanda mda mrefu sana na hawako huko tu wapo karibia kila nchi ni mambo ya kiusalama zaidi kama una ona wandani wana weza rubunika una wachukua kwa kua hawajulikani inakua ngumu MTU kumuingilia
Wewe mwenyewe kutumia neno “isikanushe” ni kwamba umeashiria hiyo ni uongo.Ni miezi sasa kama 6 toka ikulu na Rais wetu wamekuwa wakituhumiwa kuwatumia makomando kutoka Rwanda kumlinda Rais na hii ilianza tu mara baada ya rais kufanya ziara Rwanda.
Na kagame kufanya ziara nchini na Magufuli kusema atawachukua wataalamu kutoka Rwanda kuja kufanya kazi nchini.
Je nikweli Tanzania Rais analindwa na makomando kutoka Rwanda na kama ni kweli je Tanzania haina makomando?
Je kama sio kweli kwanini Ikulu awakanushi Habari hizi?
Inapata wapi muda wa kusoma mitandaoni?Wewe mwenyewe kutumia neno “isikanushe” ni kwamba umeashiria hiyo ni uongo.
Serikali haiwezi kupoteza muda kwenye mambo kama hayo!!
Hi to BashiteeeSio kweli wale majamaa ni wa tz ila walikaa Rwanda mda mrefu sana na hawako huko tu wapo karibia kila nchi ni mambo ya kiusalama zaidi kama una ona wandani wana weza rubunika una wachukua kwa kua hawajulikani inakua ngumu MTU kumuingilia